Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 49,654
- 68,608
Wale walionana si unaona wanalia na leo Ni siku ya UKIMWI dunian
Natumaini jana umejinywea bia peke yakoo
Wale walionana si unaona wanalia na leo Ni siku ya UKIMWI dunian
Biandam tunashindwa kurlewa kitu kimoja si kila mahusiano lazima yaishie kwenye sex au mapenziSi
Sijaona haja yakujuana. Hizo kesi zakupeans ukimwi huzisikii mmoja unaambiwa ameshajinyonga kisa ameambukizwa na mwanacha wa jf. Na wewe ndio kwanza unataka watu wajuane.
Wale ambao toka ujiunge hujawahi kukutana uso kwa uso na member yote humu na wala humjui member yoyote humu,hebu tukuje tujuane hapa. Nimeleta huu uzi baada ya karibia wiki lote hili kuona kilio ni PM,huko PM kumechafuka. Hasa wakibonga PM wanaonana na kupeana vya kupeana. Japo mitaani nako viko nako vingi viUKIMWI,lakini ndugu zanguni nawaaasa hizi PM za humu inaonyesha ni hatari kuliko hatari unayoifikiri. Wiki hili limekuwa la vilio kuhusu kupeana vya kupeana baada ya PM. Uzi tayari
Sijawahi kutana na member wa jf hata bahati mbaya..
Kuna ulazima gani wa kujua? Kuna member mmoja alinifundisha kitu kikubwa sana, nimetokea kuzoeana nae tu japo hatujaonana bado ila huwa tunachat mara nyingi. Siku moja nikamuuliza humu anafahamiana na akina nani akanijibu hawezi kuniambia kwa sababu anaheshimu faragha zao, kuna watu wako na wake zao humu hao wake zao hawawezi kufurahi kusikia waume zao wanaonana na wanawake wa humu. Kuanzia siku hiyo nikajifunza kumbe sio ustaarabu kubaki unatangaza mimi nafahamiana na yule na yule.Good....! Kama ulionana let's say @Daby,unasema tu mimi jamani humu nafahamiana na fulani na fulani,fulani ni mpole.
Hii aisee imefanya nicheke jirani. 🤣🤣🤣Aiseee
Yaani Baba Paroko post nyingi zimenichekesha ila hii yako imefanya nicheke zaidi. LOL.Hili jambo kidogo linanishagaza sana wakuu, hivi inakuwaje hadi watu wanaanza kuwasiliana huko PM..???
Na ili ufike PM, unatakiwa kuingia kwenye jukwaa gani...!!!
Dahhhh, haya mambo mbona yananishangaza sana wallah....
Sitaki kuliamini hili Mkuu. Nadhani hii inatokana na namna utakavyojiweka kama unaigiza jf ni lazima ukikutana na mtu zile mbwembwe zipungue kidogo.Utamu wa Jamii Forums usijuane na mtu. Otherwise utaanza jishtukia. We unadhani mfano Kiduku angekua anajuana na mtu zile mbwembwe angekua anazisema hapa.
Mangi na hilo jina unatuahibisha sanaI dont meet and talk to strangers. Huwa tunamalizana hukuhuku kwenye comments
Kweli kabisaaaa nilkuwa pekee yangu sikutaka sauti nyembamba nyororoNatumaini jana umejinywea bia peke yakoo
Kama unataka kukutana nao nenda kapande mwendokasi zinazotoka posta na moroko kuja kimara basi wate wako humu jf ndo hao
Yaani Baba Paroko post nyingi zimenichekesha ila hii yako imefanya nicheke zaidi. LOL.
Ndio mkuu, maana sie wengine tunaonewa sana wallah...tehTooba.
Nadhani hii inatokea kwa baadhi ya watu Mkuu kwani kwangu mpaka sasa kwa wale watu kadhaa nilioonana nao bado haijawahi kunitokea.Haha ila ni kweli alichosema, kuna ka-uhuru fulani hivi unakapoteza. Kuna baadhi ya nyuzi unaweza kujikuta unashindwa kuchangia kwa uhuru kwa sababu case inayoongelewa inafanana na member unayefahamiana nae unakuwa unaogopa kujimwaga maana anaweza kuhisi unamsema yeye