Hisha Sorel
Senior Member
- Dec 27, 2017
- 192
- 140
Jana nimeona thread ambayo ilimtambulisha OP kama atheist aliyetaka ushauri.
Hii ndo ilikuwa mara ya kwanza kuona atheist Tanzania na cha kushangaza zaidi, ma-atheist walikuwa na uelewa mpana sana wa Philosophy and sciences kitu ambacho kilinishangaza.
So we kama ni atheist, unaweza kushare mtazamo wako wa ki-science na filosophia ambao unelezea kwanini we ni atheist.
Hii ndo ilikuwa mara ya kwanza kuona atheist Tanzania na cha kushangaza zaidi, ma-atheist walikuwa na uelewa mpana sana wa Philosophy and sciences kitu ambacho kilinishangaza.
So we kama ni atheist, unaweza kushare mtazamo wako wa ki-science na filosophia ambao unelezea kwanini we ni atheist.