Wale ambao Mama zetu wametangulia mbele ya haki

Pumzika kwa Amani , mama yangu niliambiwa Mungu alikutwaa nikiwa na umri wa miaka mitatu .

Baba alinilea mpaka na yeye alipotwaliwa na Mungu.

Pumzikeni kwa Amani wazazi Wangu.
Raha ya Milele, uwape eeh Bwana na Mwanga wa milele Uwaangazie Wapumzike kwa Amani.
Daa mbona tunafanana kwa kila kitu sijawahi kumuona mama yangu na baba nae miaka mitatu iliyopita alifariki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yes, she's gone.
Alikuwa rafiki yangu.
Siendi tena hata kule home,
Sioni sababu ya kwenda huko, sure I will not go.

Ashukuriwe Mungu nilimuuguza hatua kwa hatua.
Mama, endelea kupumzika huko Mbinguni, a day we shall meet.

Sent using Jamii Forums mobile app
Pumzika kwa Amani mama yangu mpendwa kamwe sitasahau maana kifo chake kulikuwa Ni Cha ghafla nimeongea naye jioni usiku naambiwa kafariki iliniuma Sana
Daa mbona tunafanana kwa kila kitu sijawahi kumuona mama yangu na baba nae miaka mitatu iliyopita alifariki

Sent using Jamii Forums mobile app
I see! Maisha haya bila wazazi, ni changamoto sana! Poleni kwetu sote tuliopoteza wazazi wetu, one day, nitakuja ku share historia ya maisha yangu.
Pumzika kwa amani Mama

Sent using Jamii Forums mobile app
Poleni sana wapendwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Poleni nyote mulioondokewa na wapendwa wenu.Hata mimi nilifiwa na Baba nikiwa na umri wa miaka minne tu,na Mama nae akafariki nikiwa na umri wa miaka 9.

Ninaomba kutoa ushauri kwa wote ambao tumefiwa na wazazi wetu na watu wetu wengine wa karibu.Tujitahidi tuwe mabalozi wazuri katika kupambana na magonjwa yaliyowaondoa wapendwa wetu.Kama ni ajali au visababishi vingine bas pia tujitahidi katika kutoa elim kwa jamii juu ya hivyo visababishi.

Kansa ya ngozi na kifua kikuu ndio magonjwa yaliyowaondoa wazazi wangu.Najitahidi kila nipatapo muda huwa najitahidi kuyasoma haya magonjwa na kuangalia visababishi/vichocheo vyake.Na huwa natoa elim kwa watu wanaonizunguka namna ya kujilinda na kupambana na haya magonjwa.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Njooni tuwatakie heri na baraka tele huko walipo!R.I.P Mama,we miss u mama!

Uzi wa huzuni huu, nilimpoteza mama nikiwa na miaka 9 na baba akatangulia nikiwa na miaka 13 tu. So nilikua yatima nikiwa bado primary, mpaka sasa nina 36 na mambo niliyopitia ni siri yangu mpaka sasa. Kwanza ukiwa yatima hasa jamii inakutenga kwenye baadhi ya mambo. Jamii inachukulia kama mtu inferior which is not true. Namshukuru sana bibi yangu alinilea lakini kusoma najua mwenyewe niliyopitia. Watu wengi wa kijiji nilichokulia wakiniona huwa wanasema kweli Mungu yupo anayebisha amuone mtoto wa marehemu fulani. Kwenye mahusiano sasa dahh, kuna wengine akishajua huna wazazi hata uwe well off anamute utasikia sasa bila mama mkwe ndoa gani hiyo.
Ila naomba niwatie moyo vijana ambayo mmewapoteza wazazi wote au mmoja kuwa msikate tamaa na mmutegemeee Mungu kwa kila kitu. Baba na mama waliondoka na Ukimwi miaka ya 1990 na 1994 huko Iringa. Nilipoteza ndugu wengine kama baba wadogo miaka hiyo wengi yaani tulibaki na bibi tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Poleni nyote mulioondokewa na wapendwa wenu.Hata mimi nilifiwa na Baba nikiwa na umri wa miaka minne tu,na Mama nae akafariki nikiwa na umri wa miaka 9.

Ninaomba kutoa ushauri kwa wote ambao tumefiwa na wazazi wetu na watu wetu wengine wa karibu.Tujitahidi tuwe mabalozi wazuri katika kupambana na magonjwa yaliyowaondoa wapendwa wetu.Kama ni ajali au visababishi vingine bas pia tujitahidi katika kutoa elim kwa jamii juu ya hivyo visababishi.

Kansa ya ngozi na kifua kikuu ndio magonjwa yaliyowaondoa wazazi wangu.Najitahidi kila nipatapo muda huwa najitahidi kuyasoma haya magonjwa na kuangalia visababishi/vichocheo vyake.Na huwa natoa elim kwa watu wanaonizunguka namna ya kujilinda na kupambana na haya magonjwa.



Sent using Jamii Forums mobile app
Hakika umenena

Pole Sana mpendwa wangu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uzi wa huzuni huu, nilimpoteza mama nikiwa na miaka 9 na baba akatangulia nikiwa na miaka 13 tu. So nilikua yatima nikiwa bado primary, mpaka sasa nina 36 na mambo niliyopitia ni siri yangu mpaka sasa. Kwanza ukiwa yatima hasa jamii inakutenga kwenye baadhi ya mambo. Jamii inachukulia kama mtu inferior which is not true. Namshukuru sana bibi yangu alinilea lakini kusoma najua mwenyewe niliyopitia. Watu wengi wa kijiji nilichokulia wakiniona huwa wanasema kweli Mungu yupo anayebisha amuone mtoto wa marehemu fulani. Kwenye mahusiano sasa dahh, kuna wengine akishajua huna wazazi hata uwe well off anamute utasikia sasa bila mama mkwe ndoa gani hiyo.
Ila naomba niwatie moyo vijana ambayo mmewapoteza wazazi wote au mmoja kuwa msikate tamaa na mmutegemeee Mungu kwa kila kitu. Baba na mama waliondoka na Ukimwi miaka ya 1990 na 1994 huko Iringa. Nilipoteza ndugu wengine kama baba wadogo miaka hiyo wengi yaani tulibaki na bibi tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Pole mkuu

Mungu yeye anajua namna ya kutunza wanawe maana yeye ni Baba wa yatima..

Kuhusu mahusiano kamwe usijeumia eti kwa sababu wewe ni yatima ndio maana watu unaokutana nao wanamute.
Ngoja nikwambie.. mahusiano yanawasumbua watu wote hata walio na wazazi.

Mungu aendelee kukupa kila hitaji la moyo wako kwa kadiri ya mapenzi yake..
Mungu wangu Na Akubariki Sana na kukupa amani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakika umenena

Pole Sana mpendwa wangu

Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsante.

Usikubali mume/ mke wako au hata mtu wako wa karibu kufa kwa ugonjwa uliowaua wazazi wako.Pambana kadiri uwezavyo uhakikishe familia yako inabaki salama na yenye afya.

Jenga utamaduni wa kufanya Body check-up wewe na familia yako mara kwa mara.Kuleni sana vyakula organic badala ya hivi artificial.Yaheshimuni maji ya kunywa.UTAIKOMBOA FAMILIA YAKO

Tuzingatie kanuni za afya ili na sisi tusiache watoto wetu wakiwa yatima kama sisi tulivyoachwa.

LABDA TUFE KWA SABABU ZILIZO NJE YA UWEZO WETU
 
Ahsante.

Usikubali mume/ mke wako au hata mtu wako wa karibu kufa kwa ugonjwa uliowaua wazazi wako.Pambana kadiri uwezavyo uhakikishe familia yako inabaki salama na yenye afya.

Jenga utamaduni wa kufanya Body check-up wewe na familia yako mara kwa mara.Kuleni sana vyakula organic badala ya hivi artificial.Yaheshimuni maji ya kunywa.UTAIKOMBOA FAMILIA YAKO

Sent using Jamii Forums mobile app

Akhsante kwa ushauri mzuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mama yangu pumzika kwa amani. Tulifanya vibarua wote kwa ajili ya kupata malipo ya shule. Ninashukuru Mungu nilipata mda mzuri wa kukaa na wewe baada ya ya Mungu kunifanikisha. Mungu alikupa maisha marefu ya kuishi na kuona wajukuu na vijukuu zako. Mama bado tunakupenda. Uliachwa mjane tukiwa hata hatujaenda shule na pa kulala ilikuwa shida, lakini ulijitahidi mpaka tukafanikiwa sisi wanao. Pumzika kwa amani mama. Kwa jitihada zako tunaonekana wa maana na hata tukiwasimulia watoto wetu wanashindwa kuamini maisha tulioishi wakati huo, wanasema tunawadanganya, Miaka mia moja aliyokupa Mungu si haba. R.I.P mama.
 
Mama yangu pumzika kwa amani. Tulifanya vibarua wote kwa ajili ya kupata malipo ya shule. Ninashukuru Mungu nilipata mda mzuri wa kukaa na wewe baada ya ya Mungu kunifanikisha. Mungu alikupa maisha marefu ya kuishi na kuona wajukuu na vijukuu zako. Mama bado tunakupenda. Uliachwa mjane tukiwa hata hatujaenda shule na pa kulala ilikuwa shida, lakini ulijitahidi mpaka tukafanikiwa sisi wanao. Pumzika kwa amani mama. Kwa jitihada zako tunaonekana wa maana na hata tukiwasimulia watoto wetu wanashindwa kuamini maisha tulioishi wakati huo, wanasema tunawadanganya, Miaka mia moja aliyokupa Mungu si haba. R.I.P mama.
Hakika alipata neema Sana.
Mungu aendelee kumpumzisha kwa amani

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom