Wale ambao leo mmekaushiwa na wapenzi wenu

kuna manzi ile asubuh kazuga kunikazia.

Nikafanya plan B... Tena hiyo ni kitu balaaa


Nmepiga mapicha mapicha nikiwa na plan B , tunakula na kucheka , nimeweka kwa status wasap

Saizi yule alozuga Asubuhi ananipigia simu ohoooo upo wapi ohoooo nini

Nmemchana laivu, Asubuhi umevunga.. Ukajua unanitesa,, nmetumia plan B .

akaendelea, ohoooo basi nakuja.


Nmemjibu, Nipo na mwenzako tena nyumbani kwake nje ya mji .. Kisha nmemblock ..ila mimeseji ndio anaendelea kutuma sijamjibu na mimeseji yake !!
Humpendi HATA kidonchoro
 
kuna manzi ile asubuh kazuga kunikazia.

Nikafanya plan B... Tena hiyo ni kitu balaaa


Nmepiga mapicha mapicha nikiwa na plan B , tunakula na kucheka , nimeweka kwa status wasap

Saizi yule alozuga Asubuhi ananipigia simu ohoooo upo wapi ohoooo nini

Nmemchana laivu, Asubuhi umevunga.. Ukajua unanitesa,, nmetumia plan B .

akaendelea, ohoooo basi nakuja.


Nmemjibu, Nipo na mwenzako tena nyumbani kwake nje ya mji .. Kisha nmemblock ..ila mimeseji ndio anaendelea kutuma sijamjibu na mimeseji yake !!
Dah hii revenge zaidi ya Rambo kaka
 
14 Reactions
Reply
Back
Top Bottom