one wisow
JF-Expert Member
- Sep 9, 2019
- 1,216
- 1,795
Uongo, imebaki minneAu uongo ndugu zangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uongo, imebaki minneAu uongo ndugu zangu
Unasema kweli?Tulioanza mwaka na usingle tujuane
Humpendi HATA kidonchorokuna manzi ile asubuh kazuga kunikazia.
Nikafanya plan B... Tena hiyo ni kitu balaaa
Nmepiga mapicha mapicha nikiwa na plan B , tunakula na kucheka , nimeweka kwa status wasap
Saizi yule alozuga Asubuhi ananipigia simu ohoooo upo wapi ohoooo nini
Nmemchana laivu, Asubuhi umevunga.. Ukajua unanitesa,, nmetumia plan B .
akaendelea, ohoooo basi nakuja.
Nmemjibu, Nipo na mwenzako tena nyumbani kwake nje ya mji .. Kisha nmemblock ..ila mimeseji ndio anaendelea kutuma sijamjibu na mimeseji yake !!
Sio minne mzee, tuna mpango wa kumuweka kwenye katiba aongoze mpaka atakapochokaUongo, imebaki minne
Kweli kabisa mkuu, mwanaume rijali hawezi kusumbuliwa na mwanamkeNi kweli, maana tumelaliwa mno na tumechezewa mno. Kwa hiyo nyeto ni mkombozi. Kwani nasema uongo ndugu zangu?
Yeah! hana ushindani kabisaDoooh....Huyu angekuwa mwanamke ..uke wenza ungemfaa sana
Zama zimebadilika !!!Humpendi HATA kidonchoro
Dah! Chungu kumezaHakuna demu asiyependa mtoko nyakati za sikukuu
Ukiona demu wako kakususa, ujue kuna muhuni anambandua sahizi
Hii ndio maana ya Acha wivu
Hii block imewekwa leo au?Tupo mikoa tofauti kanipa block nami nime pata sababu niliyo kuwa naitafuta
Akija mwenye kukuliko unakaushiwa tukwamba kipato kikikua hatakaushiwa msg?
Dah hii revenge zaidi ya Rambo kakakuna manzi ile asubuh kazuga kunikazia.
Nikafanya plan B... Tena hiyo ni kitu balaaa
Nmepiga mapicha mapicha nikiwa na plan B , tunakula na kucheka , nimeweka kwa status wasap
Saizi yule alozuga Asubuhi ananipigia simu ohoooo upo wapi ohoooo nini
Nmemchana laivu, Asubuhi umevunga.. Ukajua unanitesa,, nmetumia plan B .
akaendelea, ohoooo basi nakuja.
Nmemjibu, Nipo na mwenzako tena nyumbani kwake nje ya mji .. Kisha nmemblock ..ila mimeseji ndio anaendelea kutuma sijamjibu na mimeseji yake !!
Leo ni wewe kama wewe au sioMie nakula vitu vyangu tu leo wapenzi kesho ndio siku nzuri
Eeh leo nakula Hennessy na wine wine, kesho ni pussy freaking!Leo ni wewe kama wewe au sio
Mkuu wewe ni mtata sana!!Eeh leo nakula Hennessy na wine wine, kesho ni pussy freaking!
Kweli tenaUnasema kweli?
Amna mkuu kawaida tu blaza 😂Mkuu wewe ni mtata sana!!
Hapa hapa,kwanini umkaushie mwenzio?Tuliokaushia watu tunacomment wapi?
Tatizo ukimuita out anakuja na mtoto wake kwa nini nisiuchubueHapa hapa,kwanini umkaushie mwenzio?
DuuuhKweli tena