Wale ambao hatutaoa kamwe tujadili namna ya kuhudumiwa uzeeni

Mwaka Jana niliskitika sana baada ya kutafakari kwa tukio LA kutambulishwa ukweni na kuanza kuwaza mawazo kutoka kwa pepo mchafu aitwae ndoa
Nakushukuru sana bidada kwa kuonesha makucha mapema hivyo ubaki mzazi mwenzangu tu


Na Mimi kama mwenyekiti wa hiki chama cha bachelor forever (BF) naunga mkono hoja ya katibu wangu


haya nakalibisha wajumbe kuweza kuchangia chochote kile ili kuweza kudumisha na kukuza chama chetu


BF hoyeeee3


Karibuni wajumbe
Oyeeee
 
Mwaka Jana niliskitika sana baada ya kutafakari kwa tukio LA kutambulishwa ukweni na kuanza kuwaza mawazo kutoka kwa pepo mchafu aitwae ndoa
Nakushukuru sana bidada kwa kuonesha makucha mapema hivyo ubaki mzazi mwenzangu tu


Na Mimi kama mwenyekiti wa hiki chama cha bachelor forever (BF) naunga mkono hoja ya katibu wangu


haya nakalibisha wajumbe kuweza kuchangia chochote kile ili kuweza kudumisha na kukuza chama chetu


BF hoyeeee3


Karibuni wajumbe
Mkuu kama una watoto naye,, unaezaje kuwatelekeza watoto na mama yao,hii kitu mi ndo inanifanya nateseka mpaka kesho,natamani nipate muafaka nijiunge kwenye chama cha mabachela,hebu tupe nondo uliwezaje kumbwaga mama watoto,
 
Usipo oa, usipo zaa, huo urijali wako utauonesha wapi?
Usiwe haudindi alafu ukasingizia mambo mengine ili usioe.

Nasema hivi kama mwanamme rijali kabisa (bunduki imejaa risisi) lazima uoe, hayo ya kuzaa mungu ndio anae jua.

Nikiwa kama kidume, nimeoa na nina watoto wawili (wakiume tupu) na shemeji yenu ana mimba ya miezi mitatu.
Na ukikuta mkeo kaliwa utakua na ujasiri wa kusema lazma uoe Tena,mda mwingne ni kulea watoto na kuish maisha ya kuhuni,
 
Kwanini mnakimbilia uzeeni tujadili kwanza ujanani tutakavyoendelea kuishi maisha matamu🍾🍾

Stress ndo huwa zinazeesha
 
Ndoa ni Kama kamari je ukiliwa utaona poa?
Fid Q
Acha matuc bhana,cjauliza kwa ubaya wengne tuna experience,na tuna watoto nawaza tu kwa herfi kubwa kua ukikuta mkeo ana mahusiano mengne mengi ,bado utakomaa na ndoa au utajiunga bachela gang
 
Acha matuc bhana,cjauliza kwa ubaya wengne tuna experience,na tuna watoto nawaza tu kwa herfi kubwa kua ukikuta mkeo ana mahusiano mengne mengi ,bado utakomaa na ndoa au utajiunga bachela gang

Nahilo ndo ambalo mi pia nmeuliza kwa kutumia mstari wa fid q sio kwa ubaya mkuu
 
Hivi mada ni tafakarishi sana ukisoma between the lines ..tatizo watu mada nzito wanaijibu kimhemko tu ilimradi wame comment..
Anyway kwenye maisha ni kupanga na kuchagua ..kwa maana sio kila jambo ambalo kwako ni kipaumbele na kwa mwingine ni hivyo hivyo.
 
Huwa nataman sana kuishi bila Mtoto ila niwe na mke(Natafuta mke ambae hazai au hana mpango wa kuzaa) ,sijaona faida za kuwa na watoto mpaka sasa,ingawaje nimejkuta Kuna kibinti kmoja kimeniingiza mkenge kimeshika ujauzito,

Nilishawahi kutafakari hilo la kuzeeka au ukiugua nani atanihudumia kwa moyo wote kama ambavyo mke au watoto wangefanya,lakin watoto wa siku hz hawana msaada sana kwa wazazi wao,akishapata familia yake,wazazi ana wasahau.
 
Ni hali halisi kuwa kupanga ni kuchagua. anayeoa na asiyeoa ni suala la mizani hiyo lakini ni ukweli usiopingika kuwa faida kubwa ya mwenza ni kwamba haujawai kuwepo mbadala wa mke/mme katika huduma za sirini hasa ukiumwa. ndugu na marafik huyeyuka mda wowote. upweke nao huleta kifo cha mapema.

Hata hivyo tuko katika nyakat za ndoa hatarishi tena za kukusababishia maradhi, msongo au kifo cha mapema kias kwamba hata mafanikio mengine kama mali na fedha yasiwe na tija kwako hapa duniani.

Basi kama tunakubaliana asiyeoa/asiyeolewa amejiepusha na mengi imebaki ni miundombinu gani mhusika na jamii tuwekeane ili ukifika hatua ya kuhitaj usaidiz nguvu zimekata bado uzipate. nashauri tuanze na BIMA ya kutunza wazee. itasaidia sana. ikibidi ukizeeka pesa zako zikuogeshe, zikusafishe, zikulishe bila kulia lia kwa kila mtu awe ndugu au rafiki na jamaaa tena wanaotaman ufe wale vyako.

Tufike mahali jamii iaminishe kizaz cha leo na kesho kuwa ndoa si lazma.wala si mafanikio(bali mafanikio ni kuishi vyema katika ndoa hiyo). kuzaa si lazma. hata unyanyasaji wa kijinsia utapungua. hata wanaoweka ukosef wa ndoa kwenye mikos watapumua. KWA MAANA JAMBO MUHIMU KATIKA MAISHA NI MOJA TU ...KUWA NA FURAHA!
HAPa ni africa. Sio ulaya.

Ukishapiga miaka 100 na una mpunga majumba na bima.
Watu kama meko watakuulia mbali na mali watazichukua.

Tafuta mtoto uzae hata na kina gigi.
Ni ushauri tu, lifestyle ya africa lazima uwe na damu yako atleast mtoto wa kike mmoja na wa kiume mmoja watakuokoa.
Ila watu baki watakuulia mbali na pesa zako
 
Huwa nataman sana kuishi bila Mtoto ila niwe na mke(Natafuta mke ambae hazai au hana mpango wa kuzaa) ,sijaona faida za kuwa na watoto mpaka sasa,ingawaje nimejkuta Kuna kibinti kmoja kimeniingiza mkenge kimeshika ujauzito,

Nilishawahi kutafakari hilo la kuzeeka au ukiugua nani atanihudumia kwa moyo wote kama ambavyo mke au watoto wangefanya,lakin watoto wa siku hz hawana msaada sana kwa wazazi wao,akishapata familia yake,wazazi ana wasahau.
Hupendi watoto? Huna akili
 
Faida zipo ingawa wazazi wako hawakubahatika kupata faida bali hasara
Ni kwel, kwangu Mimi sjatoa faida yoyote kwa wazazi wangu,zaidi ya kuwa mzigo,labda wao wanaijua faida yangu kwao,ulivyo pimbi umekosa faida za watoto,unasema tu zipo lakini kuzitaja umeshindwa
 
Back
Top Bottom