vampire123
JF-Expert Member
- Apr 17, 2016
- 1,285
- 820
Habari wakuu,
Kiukweli hili jambo linakera mno, mimi nilifanikisha mambo yote yaliyoitajika kama vile copy ya cheti cha kuzaliwa, cheti cha shule na baadhi ya vitu vingine ili niweze kupata namba au kitambulisho cha NIDA ambapo ilikuwa mwezi wa 9 mwaka jana yaani 2019 mpaka leo hii nishaenda zaidi ya mara 10 na kila nikienda naambiwa njoo wiki ijayo mara nyengine njoo baada ya wiki mbili hadi mwezi.
Hadi hivi sasa sijapata hata namba, yaani mpaka nachoka sasa. Kiukweli hili jambo linakera na linaumiza sana.
Kiukweli hili jambo linakera mno, mimi nilifanikisha mambo yote yaliyoitajika kama vile copy ya cheti cha kuzaliwa, cheti cha shule na baadhi ya vitu vingine ili niweze kupata namba au kitambulisho cha NIDA ambapo ilikuwa mwezi wa 9 mwaka jana yaani 2019 mpaka leo hii nishaenda zaidi ya mara 10 na kila nikienda naambiwa njoo wiki ijayo mara nyengine njoo baada ya wiki mbili hadi mwezi.
Hadi hivi sasa sijapata hata namba, yaani mpaka nachoka sasa. Kiukweli hili jambo linakera na linaumiza sana.