dyuteromaikota
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 5,903
- 8,230
Basi kila nikifika pale ntakuwa nawaangalia wadada wote miguuni, huenda nkaiona hiyo ya kwenye avata😊😊Daah acha tu mkuu,Mi mwenyewe nimeshakua mteja wa kudumu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi kila nikifika pale ntakuwa nawaangalia wadada wote miguuni, huenda nkaiona hiyo ya kwenye avata😊😊Daah acha tu mkuu,Mi mwenyewe nimeshakua mteja wa kudumu
Basi kila nikifika pale ntakuwa nawaangalia wadada wote miguuni, huenda nkaiona hiyo ya kwenye avata
Umeingia mandao? Majumba sita njia panda ya segerea?Duuh nilikuwepo jana hapo
Sasa hivi natafuta machimbo mapyaa
Panaitwa mandao hivyohivyo?Umeingia mandao? Majumba sita njia panda ya segerea?
Anhaa...safi! 😁Duuh nilikuwepo jana hapo
Sasa hivi natafuta machimbo mapyaa
Huko itabidi nipatembeleeUmeingia mandao? Majumba sita njia panda ya segerea?
🤣🤣🤣"Katika wanyama woote walioumbwa kitimoto kaumbika kuliko woooteeee🎶🎶,kapewa na mafuta na nywele za kizungu na kamkia kafupiii pale kwa nyumaaaa,.upate kachumbari na ndizi za kuchoma na kaserengeti baridiii pale pembeniii🎶🎶🎶🎶"
Hujiamini jiamini hatahuko utakutana naoDuuh nilikuwepo jana hapo
Sasa hivi natafuta machimbo mapyaa
Kujiamini ni sasa?...umenielewa kweli weweHujiamini jiamini hatahuko utakutana nao
Ngoja nikutag kule kwenye uzi mwingineAnhaa...safi!
Pale jumba la mawe kitimoto yake taaamuSio mlaji sana ila nikitoka dsm, Dom na Iringa, Majumba ya Mawe pale Msamvu Morogoro ni next level hadi sausage za kitimoto motoo zipo kila la kheri kwa walaji, Kuku wa Chako ni Chako hakunaga Tz nzima. Mbukweni wagogo wote
NasubiriaNgoja nikutag kule kwenye uzi mwingine
Nimekuita sikuon dear...nipe chimbo jipyaa?Nasubiria
Dah sijaiona hiyo tag.Nimekuita sikuon dear...nipe chimbo jipyaa?
Hv soweto kanga shngp mkuuSio mpiga debe wa yeyote ila kuhusu mbuzi, ukila mbuzi wa pale Corner Lounge pale Jeshini Tabata kuelekea Kisukuru/External, utakubali kuanzia Soweto mpaka unamaliza Tbt hakuna zaidi yao ingawa Soweto inaniita kwa nyama ya Kanga tu, juisi freshi inajazwa sukari kama ugomvi, vingine ni kawaida mno. The Great, Ale Bush, KB, Last Call, Baraccuda, pale kinyerezi kwa yule dada wa bandari, Kitambaa cheupe, Forty Forty n.k kwa tabata wajipange, Centre Point hotel pale Bima wanatengeneza mbuzi nzuri ila vipande vya mifupa vimezidi. Cluh Africa imekuwa ya kimazoea zaidi, hizo ndio kwa uchache kwa eneo hilo la tbt.