cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 85,522
- 137,180
Kitimoto ya kuchoma ina balaa.....
Halafu inachonifurahisha hii kitu, baada ya kuila kifuatacho ni maji tu inaleta kiu.
Nashauri watu tusiopenda kunywa maji tule kitimoto sana. More more water