Mdogo ake the BOLD
JF-Expert Member
- Mar 30, 2018
- 457
- 831
Hayo mambo nayapata chimbo gani mzee
Nenda pale kairuki mkuu
Hayo mambo nayapata chimbo gani mzee
Hayo mambo nayapata chimbo gani mzee
Keko machungwa sehemu gani mkuu?Keko machungwa balaaaaaView attachment 1691811
Tekenya ipo sehemu gani please?
Kinyerezi ndio kuna tekenya, niliwahi kula na kunduchi ila sikikumbuki vizuri kile kijiweTekenya ipo sehemu gani please?
Ni kinyerezi sehemu gani?Ni karibu na stand ya daladala?Kinyerezi ndio kuna tekenya, niliwahi kula na kunduchi ila sikikumbuki vizuri kile kijiwe
Sina uhakika na kituo cha daladala ila ni maeneo ya kinyerezi shule ya msingi, insta wapo pia, andika tu kitimoto tekenya, huwa wanafanya delivery piaNi kinyerezi sehemu gani?Ni karibu na stand ya daladala?
Shukrani mkuuSina uhakika na kituo cha daladala ila ni maeneo ya kinyerezi shule ya msingi, insta wapo pia, andika tu kitimoto tekenya, huwa wanafanya delivery pia
UfundiKeko machungwa sehemu gani mkuu?
Kinyerezi sehemu gani?Nakula kitimoto nusu huku Kinyerezi kwa TZS 5,500/=,nimeshangaa sana!
Hapa stendi ya daladala mkuuKinyerezi sehemu gani?
Guruee Hao Wamekufa na Corona....si wa KuchinjaaaNakula kitimoto nusu huku Kinyerezi kwa TZS 5,500/=,nimeshangaa sana!
😳😳😳Guruee Hao Wamekufa na Corona....si wa Kuchinjaaa
Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Kijiwe kinaitwaje?Hapa stendi ya daladala mkuu