witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,710
- 47,099
Toka jana?... Y hukula?Karibia mama. Ni nina njaa ya toka jana.
Toka jana?... Y hukula?Karibia mama. Ni nina njaa ya toka jana.
Kwa remyMibbs ipo sinza sehem gan
Mwambie hakuna mnyoo usiokufa kwenye mafuta ya kitimoto labda mnyoo chuma!Hakuna kitu kama hicho ata papuchi ni halamu lakini watu wanaitafuna
Nakupenda pia. Hebu njoo PM nikuulize ishu flani hivi
Mibbs ipo sinza sehem gan
Nakupenda pia. Hebu njoo PM nikuulize ishu flani hivi
Nilikua nawaza nile nini.Toka jana?... Y hukula?
Tujuzane kijiwe kipi kizuri kwa hapo ulipo kinapika kitimoto chenye Quality yaani ukigusa utatamani kesho uje tena?
Kama mnavyojua Utamu wa kitimoto upate na ugari au Ndizi za kukaanga,nimeshapanga ratiba yangu leo lazima nikale kitimoto.
View attachment 942375
View attachment 942377
Nb:
Mashekhe na Maustadhi tafadharini sana msije kuutia shombo uzi huu,
Huu ni kwa sisi wala kitimoto tu ukiona haukufai kafanye mengine siyo kuja hapa.
Cc Zero IQ
MIBS??? Jesus!!Karibu na B bar. Check direction Google. Mibs Tavern
Njoo PM basiNiulize tu Babu
MIBS??? Jesus!!
AsanteKaribu na B bar. Check direction Google. Mibs Tavern
Safi dada....asee usiache kulaNilikua nawaza nile nini.
Ila ndo nakula mdudu wa mibs hapa.
Pooole my...nadhani itakuwa ni soon early beginning of january
Nimepatia??Asante dear.
Umekosea kidogo sana😂😂😂Nimepatia??
Basi tu. Hao jamaa wa mibs ni vitombi sijapata kuona. Umesalimika?Nini babu???
Basi tu. Hao jamaa wa mibs ni vitombi sijapata kuona. Umesalimika?