witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,710
- 47,093
Mibbs kwa sinza hana mpinzani...De France nilikula haikudamshi, sijui lknHvi pale kwa Remmy wanapaita De France wanaishinda ya mibbs sijawahi kukanyaga pale ila nasikia watu wanapasifia pia
Mibbs kwa sinza hana mpinzani...De France nilikula haikudamshi, sijui lknHvi pale kwa Remmy wanapaita De France wanaishinda ya mibbs sijawahi kukanyaga pale ila nasikia watu wanapasifia pia
NilishatestUmejuaje
Haaahaa....eti niliwachambaa, wana dharau kinoma mi bora kwenye msosi sizinguliwi kivile....ishu ni ile car wash yao asee, waliniharibia sensor za milango kuwauliza full kuchukulia simple!....haahaa pale ni jina ndo linauza ila service mmiliki ajiangalieKuna siku niliwachambaaa. Bahati yao sikua nalipa bill mimi ila ningeondoka na bill washike adabu wajifunze kuheshimu wateja.
Yani mtu unamuomba bill anatumia 40mins kuandaa.
Management ya pale inawalea wale wahudumu
Ukiwa mzurulajiIla na wewe unajua kufaidi mahanjumati si mchezo
ukishampenda mpishi banaaHuyo mr kuku sijala ila nina imani Dar hii hamna anaemfikia Sele bonge kwa biriani. Nilielekezwaga Temeke Sudab kwa Kidishi. Nikaambiwa huyu ndo bingwa wa biriani Temeke nzima. Aiseee. Nilienda kula mara tatu biriani haidamshi kabisa. Nikaachana nalo
Pamepotezwa...kufanya biashara kwa mazoeaKweli B bar pamesahaulika kabisa.
Haaahaa....eti niliwachambaa, wana dharau kinoma mi bora kwenye msosi sizinguliwi kivile....ishu ni ile car wash yao asee, waliniharibia sensor za milango kuwauliza full kuchukulia simple!....haahaa pale ni jina ndo linauza ila service mmiliki ajiangalie
ukishampenda mpishi banaa
Pamepotezwa...kufanya biashara kwa mazoea
Naweza kupita hapo anytime....nimeshiba labda kunywa tuuNaenda mibs kumalizia weekend
Siri zenu tutazijua tuu yaani nyie wakina dada mnavijua vijiwe kuliko sisi wanaumeHatari kabisa sema wahudumu wa pale sijui wanafanya kazi bure. Wavivu sana. Hawajitumi kama wa sehemu nyingine. Ndo maana Nyani Ngabu anatoka Mbezi anafuata kitimoto Sinza baada ya wahudumu pale kumzingua.
Naweza kupita hapo anytime....nimeshiba labda kunywa tuu
Siri zenu tutazijua tuu yaani nyie wakina dada mnavijua vijiwe kuliko sisi wanaume
Hapana kwa nyie wanawake mnaongoza maana huwa mnapelekwa na watu tofauti tofauti sehemu tofautiHamjataka tu kuvijua mkuu
Hapana kwa nyie wanawake mnaongoza maana huwa mnapelekwa na watu tofauti tofauti sehemu tofauti
Mkuu kitunda moja iyoo-6.889483,39.218010
Ebu fuata hiyo coordinate.. Kuna kitimoto fresh ..Niko hapo saa hizi
Mkuu karibu toroka uje hapa bungeni kwa nyumaKaribuni kwa mzee mushi Dodoma kikuyu tule kitimoto
Nakupenda pia. Hebu njoo PM nikuulize ishu flani hiviBabu nakusalimia