Walace Karia akubaliana na ombi la Simba SC kuongeza Idadi ya Wachezaji wa Kigeni kufikia 12

demigod

JF-Expert Member
Jan 2, 2015
8,250
15,116
Kuna tetesi za chini ya kapeni zinazo sema bodi ya wakurugenzi ilipokaa kikao chake wiki kadhaa zilizo pita imeafikiana kumuomba ndugu Walace Karia aongeze idadi ya wachezaji wanaoruhusiwa kucheza Ligi KUU Tanzania.

Pendekezo ni kuongeza nafasi ziwe 12 kutoka 10 za sasa.

Changamoto hiyo imetokea baada ya Simba kupatwa na kizungumkuti katika kuamua ni nani wamuache na nani wamsajili.

1.Onyango 2. Wawa 3. Chama 4. Luis Miq 5. Mgalu 6. Chikwende 7. Bwalya 8. Morrison 9. Inonga 10. MK 14 11. Banda 12. Lwanga
 
Hili la wachezaji wa kigeni linazorotesha sana vipaji vya Watanzania kupata exposure ili nao waweze kufikia viwango vya juu. Wachezaji 12 wa kigeni? 😩😩
 
Kama ongezeko limetokana na ombi la Simba, basi wapongezwe maana linawasaidia hadi Azam na Utopolo.

Yule Waziri wa Michezo wa awamu ya Tano (Mwakyembe) si alipendekeza hawa wachezaji wa kigeni wapunguzwe!. Kwahiyo ni kama vile ameshushuliwa kimatendo.
 
Kuna tetesi za chini ya kapeni zinazo sema bodi ya wakurugenzi ilipokaa kikao chake wiki kadhaa zilizo pita imeafikiana kumuomba ndugu Walace Karia aongeze idadi ya wachezaji wanaoruhusiwa kucheza Ligi KUU Tanzania.

Pendekezo ni kuongeza nafasi ziwe 12 kutoka 10 za sasa.

Changamoto hiyo imetokea baada ya Simba kupatwa na kizungumkuti katika kuamua ni nani wamuache na nani wamsajili.

1.Onyango 2. Wawa 3. Chama 4. Luis Miq 5. Mgalu 6. Chikwende 7. Bwalya 8. Morrison 9. Inonga 10. MK 14 11. Banda 12. Lwanga
Mkuu huyo Miquessone si anaenda Al Ahly na namba yake ya jezi pale Msimbazi ameshapewa Peter Banda.

Lakini pia mmoja kati ya Chama au Mugalu huenda akaondoka pia dirisha hili.

Sasa hiyo 12 itatoka wapi katika mazingira hayo ?

Na huyo Inonga ndio nani pale Simba mbona mie simfahamu
 
Hili la wachezaji wa kigeni linazorotesha sana vipaji vya Watanzania kupata exposure ili nao waweze kufikia viwango vya juu. Wachezaji 12 wa kigeni?
Mkuu mzawa akiwa na uwezo haizuii kupewa nafasi na kocha

Timu zilizo na uwezo wa kusajili ma pro wengi ni simba, yanga na azam pekee, je hao wanaobaki wazawa kwenye timu 13 zilizobaki kipi cha ziada walichonacho

Wazawa wapambane hakuna kocha asietaka kupanga mchezaji mwenye uwezo
 
Mzawa hawezi kuongeza kiwango chake kwa kutosajiliwa na timu kubwa kwa sababu kuna wageni wengi au kukaa benchi kwa sababu asiye mzawa ana kiwango kuliko yeye. Ná kiwango cha mcheza kinapatikana kwa kushiriki katika mechi nyingi za Kitaifa na Kimataifa kama hawazipati hizo hawawezi kuongeza vipaji vyao vya uchezaji. Wachezaji 12 wa kigeni ni wengi sana. 5 hadi 7 inatisha sana. Mbona miaka ya nyuma kulikuwa hakuna wageni na soka la Tanzania lilikuwa juu tu kwa kuweza kushindana na mataifa mbali katika kiwango cha juu?
Mkuu mzawa akiwa na uwezo haizuii kupewa nafasi na kocha

Timu zilizo na uwezo wa kusajili ma pro wengi ni simba, yanga na azam pekee, je hao wanaobaki wazawa kwenye timu 13 zilizobaki kipi cha ziada walichonacho

Wazawa wapambane hakuna kocha asietaka kupanga mchezaji mwenye uwezo
 
Mi nafikir umefika wakati hizi timu zetu zinatakiwa kuwa na mfumo wa kutengeneza vipaji wao wenyewe badala ya kutegemea kusajili ambapo Mara nyingi wanasajili wazee au wachezaji sio ile cream kifupi ni rejected. Ukiangalia tunasajili kutoka kwenye nchi zenye viwango vya juu kwaiyo kwaiyo asilimia kubwa tunasajili makapi lakini pia ikiwa timu zitatengeneza vipaji vya ndani itasaidia kuboresha mpira wa Tanzania tutapata wachezaji watakao tumika timu ya taifa
 
Hili la wachezaji wa kigeni linazorotesha sana vipaji vya Watanzania kupata exposure ili nao waweze kufikia viwango vya juu. Wachezaji 12 wa kigeni?
Hakuna vipaji vinavyodhoroteshwa mkuu. Ukiwa na uwezo hata akija mchezaji wa kigeni bado hawezi kukuweka benchi. Mfano mzuri ni Zimbwe Junior, alikuja Kwasi lakini akashindwa kumuweka benchi Zimbwe.

Hii dunia ni mapambano, hakuna cha upendeleo mwenye uwezo apewe nafasi.
 
Narudia tena kipaji cha mchezaji hakiji kwa kutosajiliwa au kuwekwa bench hata EPL kuna limits ya kusajili wageni. Kwa timu za Tanzania wachezaji 12 ni wengi wanazibia vipaji vya Watanzania kukua.

Liverpool are up against the homegrown rules for the Premier League next season. It’s going to affect their transfer plans.

Premier League homegrown rules state a club cannot register more than 17 non-homegrown players in their squad of 25.


Hakuna vipaji vinavyodhoroteshwa mkuu. Ukiwa na uwezo hata akija mchezaji wa kigeni bado hawezi kukuweka benchi. Mfano mzuri ni Zimbwe Junior, alikuja Kwasi lakini akashindwa kumuweka benchi Zimbwe.


Hii dunia ni mapambano, hakuna cha upendeleo mwenye uwezo apewe nafasi.
 
Mzawa hawezi kuongeza kiwango chake kwa kutosajiliwa na timu kubwa kwa sababu kuna wageni wengi au kukaa benchi kwa sababu asiye mzawa ana kiwango kuliko yeye. Ná kiwango cha mcheza kinapatikana kwa kushiriki katika mechi nyingi za Kitaifa na Kimataifa kama hawazipati hizo hawawezi kuongeza vipaji vyao vya uchezaji. Wachezaji 12 wa kigeni ni wengi sana. 5 hadi 7 inatisha sana. Mbona miaka ya nyuma kulikuwa hakuna wageni na soka la Tanzania lilikuwa juu tu kwa kuweza kushindana na mataifa mbali katika kiwango cha juu?
Mkuu ukiongelea miaka ya nyuma kila cha zamani kinaonekanaga bora, tuongelee wakati uliopo

Mchezaji ata akiwa timu ndogo akionyesha uwezo atasajiliwa timu kubwa ivyo wapambane tusiwatengenezee mazingira ya wao kuwa lama special group
 
Hakuna vipaji vinavyodhoroteshwa mkuu. Ukiwa na uwezo hata akija mchezaji wa kigeni bado hawezi kukuweka benchi. Mfano mzuri ni Zimbwe Junior, alikuja Kwasi lakini akashindwa kumuweka benchi Zimbwe.

Hii dunia ni mapambano, hakuna cha upendeleo mwenye uwezo apewe nafasi.
Kabisa ata Mkude kipindi cha ubora wake wageni wengi walishindwa kufua dafu, Bocco nae si uyo anaanza kapombe, na wengineo wengi
 
Tatizo ni kubwa timu ya Taifa inakuwa mdebwedo na Uingereza tayari hilo la foreign players linaathiri sana kupata wachezaji wa Timu ya Taifa wenye viwango vikubwa.
Mkuu ukiongelea miaka ya nyuma kila cha zamani kinaonekanaga bora, tuongelee wakati uliopo

Mchezaji ata akiwa timu ndogo akionyesha uwezo atasajiliwa timu kubwa ivyo wapambane tusiwatengenezee mazingira ya wao kuwa lama special group
 
Amid the growing trend of luring foreign soccer players to China with sky-high salaries, China’s Football Association has drafted a new regulation to limit the number of foreign players on the pitch.
According to the regulation, announced by the association in Wuhan on Jan.16, a total of three foreign players can play for a team in a given game in the China Super League and China League One. Currently, the limit for each soccer club is five registered foreign players, news portal Inews.qq.com reported.
Many Chinese soccer clubs have spent billions strengthening their teams with overseas talent. One of the most high-profile cases is that of Argentinean striker Ezequiel Iván Lavezzi, who is currently working on a two-year contract with Hebei China Fortune in the Super League, earning $56.7 million.
The regulation is also a sign of more measures to come. Additional restrictions will likely attempt to standardize and curb the excessive fees in China Super League and China League One.
In addition to restricting foreign players, the regulation also required that no fewer than two U23 players be enlisted per game, one of who should be in the starting line-up.
The regulation was released as a result of negotiations between the soccer associations and representatives of soccer clubs in the China Super League and China League One, according to the association’s website. It is intended to help develop China’s soccer industry and cultivate domestic players.
While some soccer experts believe the regulation will prompt clubs to focus more on training young players, others worry it could lead to unnecessary price hikes for those inexperienced players, as not all clubs run their own youth training programs, Inews.qq.com explained.
Source: People’s Daily Online (people.cn)
 
Back
Top Bottom