Ni ukweli usiopingika kwamba ujecha - yaani siasa za kibabe zisizofuata misingi murua ya demokrasia imenza kuota mizizi hapa nchini. Hii ni pamoja na kufuta matokeo, kubadilisha matokeo nk unawofanywa na mamlaka za uchaguzi kwa njia za kibabe tu bila kufuata misingi ya katiba na sheria zilizopo.