falcon mombasa
JF-Expert Member
- Mar 5, 2015
- 9,158
- 9,239
Najua tofauti na mawazo ya wengi humu mimi ni mkristo mkatoliki tena wa itikadi kali.
Baada ya kukaa na kutafakari kwa siku kadhaa juu ya kilichompata mpendwa wetu maxence nimeamua kubadili msimamo wa kumpa pole hadi kumpongeza Maxence.
Nimeamua kumpongeza Maxence kwa kukubali kuteswa kunyanyaswa kupigwa nk kwa ajili ya wale watanzania maskin,wajinga,wanyonge,yatima,malofa,wagonjwa,vilema,wenye njaa walioko Chato, Biharamulo, Mpanda, Bahi nk.
Kwa kuwa JamiiForums imekuwa mstari wa mbele kufichua uovu dhuluma dhidi ya makundi haya. Hivyo malipo ya kipekee atakayoyapata ni toka kwa roho mtakatifu.
Maxence usikate tamaa mungu hatokuacha kwenye makao yake ya milele yaliyopangwa na yeye mwenye nguvu.
Mimi leo navunja ratiba zote nitakuwa Kisutu nimevaa shati la mikono mirefu na mistari mistari nitakunja mikono ya shati.
Hii ni hatua ya mwanzo ya kila mwenye kutaka kwenda mbinguni lazima aipitie na leo tunashuhudia Maxence akiipitia.
Na kwa kujiamini nasisitiza nitakuja na alteeza.
Baada ya kukaa na kutafakari kwa siku kadhaa juu ya kilichompata mpendwa wetu maxence nimeamua kubadili msimamo wa kumpa pole hadi kumpongeza Maxence.
Nimeamua kumpongeza Maxence kwa kukubali kuteswa kunyanyaswa kupigwa nk kwa ajili ya wale watanzania maskin,wajinga,wanyonge,yatima,malofa,wagonjwa,vilema,wenye njaa walioko Chato, Biharamulo, Mpanda, Bahi nk.
Kwa kuwa JamiiForums imekuwa mstari wa mbele kufichua uovu dhuluma dhidi ya makundi haya. Hivyo malipo ya kipekee atakayoyapata ni toka kwa roho mtakatifu.
Maxence usikate tamaa mungu hatokuacha kwenye makao yake ya milele yaliyopangwa na yeye mwenye nguvu.
Mimi leo navunja ratiba zote nitakuwa Kisutu nimevaa shati la mikono mirefu na mistari mistari nitakunja mikono ya shati.
Hii ni hatua ya mwanzo ya kila mwenye kutaka kwenda mbinguni lazima aipitie na leo tunashuhudia Maxence akiipitia.
Na kwa kujiamini nasisitiza nitakuja na alteeza.