KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,555
- 8,552
Napenda kuuliza maana unasikia mtu anasema mimi mapenzi yetu hayakuwa ya kuzaa mtoto sasa kama umezaa mtoto mimi sijui!!!.....matokeo yake wanaopata tabu ni akina mama na watoto na pengine tunaendelea kuzalisha watoto wa mitaani...!!!
sasa basi kuna uwezekano ukapata mwanamke kwa ajili ya kukuzalia watoto??kama nchi zawenzetu wanaweza kwa nini tusiweze??
sasa basi kuna uwezekano ukapata mwanamke kwa ajili ya kukuzalia watoto??kama nchi zawenzetu wanaweza kwa nini tusiweze??