Sajenti
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 3,651
- 412
Kuna habari kuwa wakuu wote wa mikoa nchini wameitwa ikulu Dar es Salaam. Taarifa ya kuitwa kwa ma-RC hao zinasema kuwa ni kutaka kukutana na mkuu wa magamba ili kutathmini mwenendo wa sirikali yao na pia kupata taarifa za mabadiriko makubwa yatakayofanywa na kiranja mkuu wa magamba kwa nyadhifa za wateule hao....