Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 41,962
- 32,405
Habari zenu Wakuu wenzangu naomba kuuliza Swali hili je Sheria za Serikali ya Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, kuhusu Mtanzania kuwa na Uraia wa nchi mbili hapo kwetu imepitishwa na Serikali yetu? Na pia ningeomba kama kuna Mtu ana kitabu cha Sheria ya Jamhuri wa Muungano au Katiba ya Serikali ya Tanzania naomba anipatie Naomba hilo swali langu nijibiwe asanteni