Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
na hapo kweli anaweza kumpa mpinzani nchi,je dc wa igunga atkuwemo kweli?Napita njia lakini kete pekee iliyobaki CCM katika uchaguzi mkuu 2015 ni kwa wakuu wa wilaya na wakurugenzi wa mikoa na wilaya pamoja na maafisa tawala mikoa na wilaya,,JK akichemka hapo atakabidhi nchi kwa wapinzani na kwa mara ya kwanza CCM itakuwa chama cha upinzani..
Hawa wanahusikaje hapa? Mbona sio wateule wa Rais bali waajiriwa kama walivyo Walimu na watumishi wengine?Napita njia lakini kete pekee iliyobaki CCM katika uchaguzi mkuu 2015 ni kwa wakuu wa wilaya na wakurugenzi wa mikoa na wilaya pamoja na maafisa tawala mikoa na wilaya,,JK akichemka hapo atakabidhi nchi kwa wapinzani na kwa mara ya kwanza CCM itakuwa chama cha upinzani..
Huo uongozi wanapeana kama njugu?
Hawa wanahusikaje hapa? Mbona sio wateule wa Rais bali waajiriwa kama walivyo Walimu na watumishi wengine?
Viky Kamata ni nani!na yuko vp na mzee wa kaya mpaka kuteuliwa?
Napita njia lakini kete pekee iliyobaki CCM katika uchaguzi mkuu 2015 ni kwa wakuu wa wilaya na wakurugenzi wa mikoa na wilaya pamoja na maafisa tawala mikoa na wilaya,,JK akichemka hapo atakabidhi nchi kwa wapinzani na kwa mara ya kwanza CCM itakuwa chama cha upinzani..
Kimbunga soma vizuri Maafisa Tawala ni Administrative Officers na ni waajiriwa wakati RAS ni Katibu Tawala (Mkoa) na DAS ni Katibu Tawala (Wilaya) hawa ndio wateuliwa Mkuu, pole sana kajipange upya na wewe ndio uko mbali saaaaaaana.Mkuu wangu RAS na DAS huwa ni waajiriwa ama wateule wa Rais? Mkuu naona upo mbali kweli. Hawa ni sawa na Makatibu Wakuu wa Wizara kwenye Mikoa yao. Wanaitwa watendaji lakini ni wateule wa President kwa uelewa wangu.
Mkuu wangu RAS na DAS huwa ni waajiriwa ama wateule wa Rais? Mkuu naona upo mbali kweli. Hawa ni sawa na Makatibu Wakuu wa Wizara kwenye Mikoa yao. Wanaitwa watendaji lakini ni wateule wa President kwa uelewa wangu.
Kesho usiku utasikia tu na Masha yumo
Napita njia lakini kete pekee iliyobaki CCM katika uchaguzi mkuu 2015 ni kwa wakuu wa wilaya na wakurugenzi wa mikoa na wilaya pamoja na maafisa tawala mikoa na wilaya,,JK akichemka hapo atakabidhi nchi kwa wapinzani na kwa mara ya kwanza CCM itakuwa chama cha upinzani