Wakuu wapya uteuzi

Matango

JF-Expert Member
Jan 14, 2011
535
118
Ule uteuzi uliokuwa unasubiriwa wakuu wapya wa wilaya, mikoa minne iliyobaki ili waende Hombolo, mwenye taarifa mpya atujuze. Je ni kweli Kamata yumo?
 
Napita njia lakini kete pekee iliyobaki CCM katika uchaguzi mkuu 2015 ni kwa wakuu wa wilaya na wakurugenzi wa mikoa na wilaya pamoja na maafisa tawala mikoa na wilaya,,JK akichemka hapo atakabidhi nchi kwa wapinzani na kwa mara ya kwanza CCM itakuwa chama cha upinzani..
 
Napita njia lakini kete pekee iliyobaki CCM katika uchaguzi mkuu 2015 ni kwa wakuu wa wilaya na wakurugenzi wa mikoa na wilaya pamoja na maafisa tawala mikoa na wilaya,,JK akichemka hapo atakabidhi nchi kwa wapinzani na kwa mara ya kwanza CCM itakuwa chama cha upinzani..
na hapo kweli anaweza kumpa mpinzani nchi,je dc wa igunga atkuwemo kweli?
 
Napita njia lakini kete pekee iliyobaki CCM katika uchaguzi mkuu 2015 ni kwa wakuu wa wilaya na wakurugenzi wa mikoa na wilaya pamoja na maafisa tawala mikoa na wilaya,,JK akichemka hapo atakabidhi nchi kwa wapinzani na kwa mara ya kwanza CCM itakuwa chama cha upinzani..
Hawa wanahusikaje hapa? Mbona sio wateule wa Rais bali waajiriwa kama walivyo Walimu na watumishi wengine?
 
Hii post kama sijielewa. Naomba atakayeelewa anijuze.
 
Hawa wanahusikaje hapa? Mbona sio wateule wa Rais bali waajiriwa kama walivyo Walimu na watumishi wengine?

Mkuu wangu RAS na DAS huwa ni waajiriwa ama wateule wa Rais? Mkuu naona upo mbali kweli. Hawa ni sawa na Makatibu Wakuu wa Wizara kwenye Mikoa yao. Wanaitwa watendaji lakini ni wateule wa President kwa uelewa wangu.
 
Napita njia lakini kete pekee iliyobaki CCM katika uchaguzi mkuu 2015 ni kwa wakuu wa wilaya na wakurugenzi wa mikoa na wilaya pamoja na maafisa tawala mikoa na wilaya,,JK akichemka hapo atakabidhi nchi kwa wapinzani na kwa mara ya kwanza CCM itakuwa chama cha upinzani..

red and bolded: mkuu hebu jaribu kufikiria sawasawa uatajua kuwa hiii kitu ni ya miaka 47 ilopita. Haipo kwa sasa mkuu
 
Mkuu wangu RAS na DAS huwa ni waajiriwa ama wateule wa Rais? Mkuu naona upo mbali kweli. Hawa ni sawa na Makatibu Wakuu wa Wizara kwenye Mikoa yao. Wanaitwa watendaji lakini ni wateule wa President kwa uelewa wangu.
Kimbunga soma vizuri Maafisa Tawala ni Administrative Officers na ni waajiriwa wakati RAS ni Katibu Tawala (Mkoa) na DAS ni Katibu Tawala (Wilaya) hawa ndio wateuliwa Mkuu, pole sana kajipange upya na wewe ndio uko mbali saaaaaaana.
 
Mkuu wangu RAS na DAS huwa ni waajiriwa ama wateule wa Rais? Mkuu naona upo mbali kweli. Hawa ni sawa na Makatibu Wakuu wa Wizara kwenye Mikoa yao. Wanaitwa watendaji lakini ni wateule wa President kwa uelewa wangu.

Mkuu unajichanganya sana RAS ni katibu tawala mkoa vivyo hivyo DAS kwa wilaya. Afisa tawala ni mwingine na ni mwajiriwa kama watumishi wengine. Mtoa mada hajazungumzia RAS na DAS ametaja maafisa tawala.
 
Napita njia lakini kete pekee iliyobaki CCM katika uchaguzi mkuu 2015 ni kwa wakuu wa wilaya na wakurugenzi wa mikoa na wilaya pamoja na maafisa tawala mikoa na wilaya,,JK akichemka hapo atakabidhi nchi kwa wapinzani na kwa mara ya kwanza CCM itakuwa chama cha upinzani

Hapo kwenye red naona ni cheo kipya unakipendekeza
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom