Baba_Enock
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 7,080
- 2,424
Mara kwa mara huwa nafuatilia uteuzi wa Mh. Rais re Wakuu wa Wilaya, na mara zote karibia 40% uwa ni Maofisa wa Jeshi la Wananchi.
Huu uteuzi wa wanajeshi kuwa wakuu wa wilaya ni kwa sababu gani hasa? Maana nilitegemea hawa maofisa wawe kwenye makambi au "barracks". Kwa mfano:-
Luteni Winfrid Ligubi (Urambo)
Kanali Edmund Mjengwa (Mbinga)
Meja Bahati Matala (Kahama)
Luteni Kanali Serenge Mrengo (Ilemela)
Kapteni Assary Msangi(Iringa)
Kapteni Geoffrey Ngatuni (Musoma)
Luteni Kanali John Mzurikwao (Mpanda)
Kapteni Seif Mpembenwe (Handeni)
Kanali Fabian Massawe (Muleba)
Luteni Kanali Cosmas Kayombo (Mbarali)
Luteni Kanali Benedict Kitenga (Rorya)
Kanali Issa Njiku (Misenyi)
And the list goes on!
Huu uteuzi wa wanajeshi kuwa wakuu wa wilaya ni kwa sababu gani hasa? Maana nilitegemea hawa maofisa wawe kwenye makambi au "barracks". Kwa mfano:-
Luteni Winfrid Ligubi (Urambo)
Kanali Edmund Mjengwa (Mbinga)
Meja Bahati Matala (Kahama)
Luteni Kanali Serenge Mrengo (Ilemela)
Kapteni Assary Msangi(Iringa)
Kapteni Geoffrey Ngatuni (Musoma)
Luteni Kanali John Mzurikwao (Mpanda)
Kapteni Seif Mpembenwe (Handeni)
Kanali Fabian Massawe (Muleba)
Luteni Kanali Cosmas Kayombo (Mbarali)
Luteni Kanali Benedict Kitenga (Rorya)
Kanali Issa Njiku (Misenyi)
And the list goes on!