Wakuu wa vitengo, kwanini mnakalia haki za wafanyakazi?

ndayilagije

JF-Expert Member
Nov 7, 2016
7,492
8,295
Habari Wana JF,

Kwa muda nimekuwa nashangazwa na wakuu wengi wa idara. Wanawafanya walio chini yao kama vile wao ndiyo kazi.

Nafikiri ingefaa tuwe watumishi ndani ya idara kwa kushirikiana na kushirikishana kazi na ujuzi lakini wewe hufanyi lolote zaidi ya kunifuatilia mimi na kukalia haki zangu.

Hivi hatuwezi kubadilika? Nijuavyo cheo kitakutumia kwa muda tu na mwisho kitakukataa na kujitwalia mtu mwingine.
 
Mkuu unapswa udai haki zako kwa mujibu wa sheria na uwajibike kw mujibu wa sheria haki na wa wajibu ni simultanous equation.
Pia penda kupitia gn. Na standing order mbali mbali.
Onyesha mfano n punguza maadui mahali pa kazi .ukijifanya kidume nchi hii ina misheria kibao kabatini .
Kupu guza migogoro jali yako.ni ushauri. Tu
 
Mkuu unapswa udai haki zako kwa mujibu wa sheria na uwajibike kw mujibu wa sheria haki na wa wajibu ni simultanous equation.
Pia penda kupitia gn. Na standing order mbali mbali.
Onyesha mfano n punguza maadui mahali pa kazi .ukijifanya kidume nchi hii ina misheria kibao kabatini .
Kupu guza migogoro jali yako.ni ushauri. Tu
Namanisha tukipata ka madaraka tuangalie na tutokako,personaly hainisumbui,lakini tukipanda vyeo tunaact as if hicho cheo umeumbiwa wewe.mbona walikuwepo na watakuja tu.
 
Namanisha tukipata ka madaraka tuangalie na tutokako,personaly hainisumbui,lakini tukipanda vyeo tunaact as if hicho cheo umeumbiwa wewe.mbona walikuwepo na watakuja tu.
Binadam ana hulka tofauti nyingine za kurith na nyingine za kujitakia.
Pia ili kuwa huru usipende kuajiliwa.naamini wanajua wanapotoka.mwingine anaweza kua mkorofi utafikiri meneja mwajiri kumbe ni
mesenja au dereva wa bosi. Tatizo jingine pia tunafanya kazi za umma ni vijiweni.nalo lazima tubadilike
 
Back
Top Bottom