Wakuu wa nchi za Afrika waliofariki wakiwa madarakani kuanzia mwaka 1960 - 2021

Sam Gidori

Senior Member
Sep 7, 2020
165
414
Mwaka 2021, Tanzania inaomboleza kifo cha kiongozi wake wa nchi aliyefariki akiwa madarakani, John Pombe Magufuli aliyefariki kwa ugonjwa wa moyo.
Hii hapa orodha ya Wakuu wengine wa nchi za Afrika waliofariki wakiwa madarakani kuanzia mwaka 1960 hadi 2021.

MwakaNchiKiongoziSababu
2021TanzaniaJohn MagufuliUgonjwa wa Moyo
2020BurundiPierre NkurunzizaMshtuko wa moyo
2019TunisiaBeji Caid EssebsiUgonjwa
2014ZambiaMichael SataUgonjwa
2012EthiopiaMeles Zenawi (Waziri Mkuu)Ugonjwa
2012GhanaJohn Atta MillsKiharusi
2012MalawiBingu wa MutharikaMshtuko wa Moyo
2012Guinea-BissauMalam Bacai SanháUgonjwa
2011LibyaMuammar GaddafiKuuawa
2010NigeriaUmaru Musa Yar'AduaUgonjwa
2009Guinea-BissauJoão Bernardo VieiraKuuawa
2009GabonOmar BongoMshtuko wa Moyo
2008GuineaLansana ContéUgonjwa
2008ZambiaLevy MwanawasaKiharusi
2001DRCLaurent-Désiré KabilaKuuawa
1999NigerIbrahim Baré MaïnassaraKuuawa
1998Visiwa vya ComoroMohamed Taki Abdoulkarim
1994BurundiCyprien NtarymanaKuuawa
1994RwandaJuvénal HabyarimanaKuuawa
1993BurundiMelchior NdadayeKuuawa
1990LiberiaSamuel DoeKuuawa
1989Visiwa vya ComoroAhmed AbdallahKuuawa
1987Burkina FasoThomas SankaraKuuawa
1986MsumbijiSamora MachelAjali ya Ndege
1984GuineaAhmed Sékou TouréMshtuko wa moyo
1981MisriAnwar SadatKuuawa
1980BotswanaSeretse KhamaSaratani ya Ini
1979AngolaAgostino NetoUgonjwa
1978KenyaJomo KenyattaMshtuko wa Moyo
1978AlgeriaHouari BoumedieneUgonjwa
1975ChadFrançois TombalbayeKuuawa
1975MadagascarRichard RatsimandravaKuuawa
1970MisriGamal Abdel NasserMshtuko wa Moyo
1969SomaliaAbdirashid Ali ShermarkeKuuawa
1967GabonLéon M'baSaratani
1963TogoSylvanus OlympioKuuawa


Wakuu Afrika.png
 
Mwaka 2021, Tanzania inaomboleza kifo cha kiongozi wake wa nchi aliyefariki akiwa madarakani, John Pombe Magufuli aliyefariki kwa ugonjwa wa moyo.
Hii hapa orodha ya Wakuu wengine wa nchi za Afrika waliofariki wakiwa madarakani kuanzia mwaka 1960 hadi 2021.

MwakaNchiKiongoziSababu
2021TanzaniaJohn MgufuliUgonjwa wa Moyo
2020BurundiPierre NkurunzizaMshtuko wa moyo
2019TunisiaBeji Caid EssebsiUgonjwa
2014ZambiaMichael SataUgonjwa
2012EthiopiaMeles Zenawi (Waziri Mkuu)Ugonjwa
2012GhanaJohn Atta MillsKiharusi
2012MalawiBingu wa MutharikaMshtuko wa Moyo
2012Guinea-Bissau Malam Bacai SanháUgonjwa
2011LibyaMuammar GaddafiKuuawa
2010NigeriaUmaru Musa Yar'AduaUgonjwa
2009Guinea-BissauJoão Bernardo VieiraKuuawa
2009GabonOmar BongoMshtuko wa Moyo
2008GuineaLansana ContéUgonjwa
2008ZambiaLevy MwanawasaKiharusi
2001DRCLaurent-Désiré KabilaKuuawa
1999NigerIbrahim Baré MaïnassaraKuuawa
1998Visiwa vya ComoroMohamed Taki Abdoulkarim
1994BurundiCyprien NtarymanaKuuawa
1994RwandaJuvénal HabyarimanaKuuawa
1993BurundiMelchior NdadayeKuuawa
1990LiberiaSamuel DoeKuuawa
1989Visiwa vya ComoroAhmed AbdallahKuuawa
1987Burkina FasoThomas SankaraKuuawa
1986MsumbijiSamora MachelAjali ya Ndege
1984GuineaAhmed Sékou TouréMshtuko wa moyo
1981MisriAnwar SadatKuuawa
1980BotswanaSeretse KhamaSaratani ya Ini
1979AngolaAgostino NetoUgonjwa
1978KenyaJomo KenyattaMshtuko wa Moyo
1978AlgeriaHouari BoumedieneUgonjwa
1975ChadFrançois TombalbayeKuuawa
1975MadagascarRichard RatsimandravaKuuawa
1970MisriGamal Abdel NasserMshtuko wa Moyo
1969SomaliaAbdirashid Ali ShermarkeKuuawa
1967GabonLéon M'baSaratani
1963TogoSylvanus OlympioKuuawa


View attachment 1729158
Marais wote ni binadamu kama mimi na wewe tuko safarini; sote tunaishia nyumba ile ile wakati wowote.
 
Kushtuka moyo na uuwawa ndiyo chanzo kikubwa Cha vifo madarakani asilimia kubwa nadhani ni udikteta au kung'ang'ania madaraka, madaraka ambayo hata wenyewe hayawapi amani kiasi cha kuwa na maadui wengi na kusababisha kuishi kwa mashaka hadi kupata mshtuko wa moyo au kuuwawa kabisa
 
Abde Nasser kilichomuua ni mshtuko wa moyo pale ndege mbili tu za kivita za Israel zilipopenyeza misri na kuteketeza mamia ya ndege zote za misri zilizojiaanda kwenda kuifuta taifa teule. Aliposikia tu iyo habari mshtuko wa moyo. Wayahudi washenzibsana.
 
Magufuli na Nkurunziza ni Covid 19 sio ugonjwa wa moyo. Tujaribu kua wakweli.

Magufuli na Nkurunziza wamejiua wenyewe, this was suicide. Kama Magufuli alijiamini sana kupita kawaida. Alijiona yeye ni immortal.

Mbaya zaidi alivyokua mzembe kwa afya yake akataka atuvurute na sisi tusijali afya zetu kama alivyo yeye.

Sasa ona yuko wapi.

RIP MAGU.
 
Kushtuka moyo na uuwawa ndiyo chanzo kikubwa Cha vifo madarakani asilimia kubwa nadhani ni udikteta au kung'ang'ania madaraka, madaraka ambayo hata wenyewe hayawapi amani kiasi cha kuwa na maadui wengi na kusababisha kuishi kwa mashaka hadi kupata mshtuko wa moyo au kuuwawa kabisa
Hiyo maradhi ya moyo huwa ni propaganda Kuna makubwa zaidi yaliyopo nyuma ya hayo magonjwa
 
1617643362240.png

1. Rais Magufuli (61)
Anaingia katika orodha ya viongozi wakuu wa nchi barani Afrika waliofariki wakiwa madarakani, Magufuli ameongoza kwa kuwa kipindi cha 2015/ hadi Machi 2021, Marais wengine ni pamoja na;

2. Pierre Nkurunziza (64)
Alikuwa Rais wa nane wa Burundi na alihudumu kwa miaka 15 (Januari hadi Juni 2020) na alifariki dunia 2020 kwa mshtuko wa moyo.

3. Michael Sata (77)
Alikuwa Rais wa Zambia aliyehudumu kama Waziri kwa miaka ya 1990's kabla ya kuongoza taifa hilo kuanzia 2011 na alifariki dunia 2014 kwa maradhi ambayo hayakutajwa.

4. Meles Zenawi (57)
Alikuwa Waziri Mkuu wa pili wa Ethiopia kabla ya kupata nafasi ya kiti cha urais na alifariki dunia 2012 nchini Ubelgiji kwa maradhi ambayo hayakutajwa.

5. John Atta Mills (68,)
Alikuwa Rais wa Ghana kuanzia 2009 hadi 2012, awali alikuwa makamu wa Rais katika kipindi cha 1997 hadi 2001 na alifariki dunia 2012 kwa maradhi ya saratani ya koo/ kiharusi.

6. Bingu wa Mutharika (78)
Alikuwa wa Rais wa tano wa Malawi na kuhudumu kwa kipindi cha 2004 hadi Aprili 2012 alipofariki dunia kwa mshtuko wa moyo.

7. Malam B. Sanha (64)
Alikuwa Rais wa Guinea. Bissau aliyehudumu kwa kipindi cha 2009 hadi 2012 na alifariki dunia Januari 9, 2012 nchini Ufaransa kwa maradhi ya kisukari.

8. Mu'ammar Gaddafi (69)
Afahamika zaidi kama Colonel Gadafi, Mwanamapinduzi wa Taifa la Libya alikuwa Rais wa Libya kuanzia 1977/ 2011 na alifariki dunia 2011 kwa kuuwawa na waasi.

9. Umaru M. Yar'Adua (58)
Alikuwa Rais wa Nigeria kuanzia 2007 hadi 2010 na alifariki mwaka 2010 kwa matatizo ya moyo.

10. Mfalme Hassan 11 (70)
Alikuwa mfalme wa Morocco alifariki 1999 kwa homa ya mapafu.

11. Ibrahim B. Mainassara (50)
Alikuwa mwanajeshi na Rais wa Niger na alifariki dunia 1999 kwa kuuawa.

12. Laurent D. Kabila (61)
Alikuwa Rais wa tatu wa Congo DRC alishiriki kwa karibu katika kumungo'oa Mobutu Seseseko na alifariki dunia Januari 16, 2001 kwa kuuawa.

13. Muhammad H.I Egal (73)
Alikuwa Rais wa Somalia na kabla ya kushika wadhifa huo alikuwa waziri mkuu na alifariki dunia 2002 kwa maradhi ambayo hayakutajwa.

15. Levy Mwanawasa (59)
Alikuwa Rais wa tatu wa Zambia kuanzia 2002 hadi 2008 na alifariki duniani 2008 kwa maradhi ya kiharusi.

16. Lansana Conte (74)
Alikuwa Rais wa pili wa Guinea kutoka kabila la Susu na alifariki dunia 2008 kwa maradhi ya kisukari/ugonjwa ya moyo.
 
Back
Top Bottom