nyakubonga
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 4,587
- 7,163
Aksante kwa kumbukumbu mkuu.Ndiyo katika vikao kama hivyo Tanzania ilifutiwa deni la $3 billions mwanzoni mwa 2000. Kuna mengi tu ya maana sana kwa Nchi za Afrika.
Aksante kwa kumbukumbu mkuu.Ndiyo katika vikao kama hivyo Tanzania ilifutiwa deni la $3 billions mwanzoni mwa 2000. Kuna mengi tu ya maana sana kwa Nchi za Afrika.
And he is the National Joker for the Year2018.You must be Joking!!
Exposure sio muhimu!???Yesu wangu!!!!hizi degree za chupi ni hasara Kwa taifa hivi kuna kitu muhimu kama Exposure!??Mkuu kwenye hizo forum hakuna chochote positive ambacho African wanakipata zaidi ya kupata exposure tu.
Kuna mtu kakwambia uwe shoga?! Kusema hivyo ni swwa na kusema hatutaki walemavu. Ushoga haamki mtu asubuhi na kusema anataka kuwa shoga. Ni kwa vile ni wavivu wa kusoma lakini watu wa aina hiyo walikuwepo hata nyakati za mitume wote akina Mohamad(SAW) na Yesu - Issa bin Mariam na wanasababu za kisayansi - kibaiolojia na kisaikolojia.Hatutaki ushoga
hata wakitutenga waendelee na ushoga wao[/QUO
Shoga ni wewe unapewa mpaka net kondom arv nk
Hii picha hajaiona huyu mtoto wa malaika mkuu?View attachment 970955RC wetu ameibadilisha dar!