Trubarg
JF-Expert Member
- Jan 8, 2020
- 4,253
- 6,889
Nachokiona ni mparaganyiko wa viongozi.
Leo atatoa tamko Mkuu wa Mkoa kesho Mkuu wa Wilaya.
Leo utasikia ya Dodoma, kesho Tanga, kesho kutwa Kiteto. Mimi nafikiri mnatuchosha wananchi.
Inaonekana viongozi mnaogopa Covid kuliko sisi wananchi.
Tunaomba mjipange then mje na tamko moja. Tumeshawachoka!
Leo atatoa tamko Mkuu wa Mkoa kesho Mkuu wa Wilaya.
Leo utasikia ya Dodoma, kesho Tanga, kesho kutwa Kiteto. Mimi nafikiri mnatuchosha wananchi.
Inaonekana viongozi mnaogopa Covid kuliko sisi wananchi.
Tunaomba mjipange then mje na tamko moja. Tumeshawachoka!