Natumaini muwazima ndugu wanamchakato na poleni sana kwa kazi hii nzito ya kurekebisha na kuelimisha jamii!. kuna mkuu mmoja yuko ngazi za juu serikalini kwa ticket ya CHADEMA sitomtaja kama alivoomba anasema amejitahidi sana kujiregister ili kuweza kuchangia mawazo na kupata sm ideas kutoka kwa wana JF but kila akijaribu anachoambulia ni; SORRY, WE ARE UNABLE TO REGISTER YOUR ACCOUNT AT THIS TIME. inakuweje hii mambo while we stil need members tena wa ngazi hzo ili kuweza kujua na kujifunza zaidi thrugh JF. AMA TAYARI BLOG IMEJAA? au kuna mchakachuaji humu ndani anaweka virus ili PIPOOS wasiingie humu?
SAIDIANENI....:target:
SAIDIANENI....:target: