Woga tupa kulee
JF-Expert Member
- Sep 4, 2012
- 1,752
- 1,311
Helloooow!!
Mrembo wa kinyakyusa nimetia timu humu!!
Nilikuwa nawachungulia humu akina Madame B,Lara 1,Ciello,cacico,Zinduna,Erickb52,Ruttashobolwa,Nitonye,Chilli na wengineo wengi kipindi nikiwa guest.
Sasa nimeamua kujumuika nanyi.
MARITAL STATUS:Single.
Hodiiiiii...nishikeni mkono mnioneshe uchochoro wa kupita.
Mrembo wa kinyakyusa nimetia timu humu!!
Nilikuwa nawachungulia humu akina Madame B,Lara 1,Ciello,cacico,Zinduna,Erickb52,Ruttashobolwa,Nitonye,Chilli na wengineo wengi kipindi nikiwa guest.
Sasa nimeamua kujumuika nanyi.
MARITAL STATUS:Single.
Hodiiiiii...nishikeni mkono mnioneshe uchochoro wa kupita.