Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 70,947
- 93,891
Helloooow!!
Mrembo wa kinyakyusa nimetia timu humu!!
Nilikuwa nawachungulia humu akina Madame B,Lara 1,Ciello,cacico,Zinduna,Erickb52,Ruttashobolwa,Nitonye,Chilli na wengineo wengi kipindi nikiwa guest.
Sasa nimeamua kujumuika nanyi.
MARITAL STATUS:Single.
Hodiiiiii...nishikeni mkono mnioneshe uchochoro wa kupita.
ughonile nkamu, twa kumyinu...loli bhakafu bhosa...