Wakuu vipi hiyo picha?

Indume Yene

Platinum Member
Mar 17, 2008
2,944
703
Nimekomba hii picha toka kwa Michuzi, katika hiyo picha naona kuna sura za baadhi ya watu ambao kwa mtazamo wa jamii ya Kitanzania naamini kuna walakini hapo...... pls changia kwa kila jina kama unaweza.
 

Attachments

  • mewata.jpg
    mewata.jpg
    46 KB · Views: 1,524
Nimekomba hii picha toka kwa Michuzi, katika hiyo picha naona kuna sura za baadhi ya watu ambao kwa mtazamo wa jamii ya Kitanzania naamini kuna walakini hapo...... pls changia kwa kila jina kama unaweza.

attachment.php

Mama Salma,Mke wa Shein(sijui jina), Zakia Meghji na Regina Lowassa.

Walakini wake ni hupi?
 
Mkulu hata mie Mwenyewe nimekuwa nikifikiria sana hizi association mbazo zinaanzishwa ikulu,lengo huwa nini nini,Je huwa kuna wananchama wa kudumu.Mama Lowassa ndani ,je hapa anaingia kwa cheo kipi sababu tusem kw akipindi kile alikuwa mke wa waziri mkuu na sasa??Mama Meghji naye??

Ukiangalia kwa undani kabisa huu ni ulaji tu
 
Kama si kuhamasisha michango kupitia luninga basi hawa akina mama na mafuko yao ya fedha wanyooshe mikono yao pia ktk TAWLA na TAMWA ili wawe na matawi hadi vijijini(kule buzebazeba,Malinyi,Makongorosi,igale,kazilakanda,ihumwa n.k) ambapo akina mama wengi wanahitaji msaada wa sheria.
 
There is nothing wrong kuanzisha mifuko kwa faida ya wananchi. Tatizo linakuja kama mifuko itaanzishwa kwa sake ya matumbo yao na familia zao. We can't speculate kwa sababu mama Meghji au mama Lowassa ni member wa mfuko. Kama mfuko unawafikia walengwa that is the key point.

Hawa kina mama wana influance kubwa kwa madonors, ni vyema kuwatumia ili kunyonya fund kutoka kwa hao waisaini.
I hope wakina mama wenye saratani ya matiti sasa wataweza kupata tiba katika wakati muafaka.
Kina dada inabidi mpigane na hii kansa ya maziwa kwani inawamaliza wengi wenu hapo Tanzania.
 
"nyuma ya mwanamme fisadi kuna mwanamke fisadi" mbowe akili kichwani
 
WAMA imeanza hardly two years ago. Sasa inaweza kuchangia milioni miambili (200,000,000). Kipindi fulani Mwalimu aliuliza IKULU yetu kuna biashara gani? Akifufuka leo atajua IKULU ni DEAL kubwa! Vipi, EOTF iliondoka na ngapi?
 
Hapa napata funzo moja, kuwa hawa wanyonyaji, walarushwa, wanyang'anyi mafisadi hakuna hata anetaka kuwaona, hawawezi kukaa bila vyeo, hawaamini kama wanatakiwa waishi maisha ya kwaida, wanajipachika tu ili mradi wapate nyadhifa, (hasa zakia na regina), machoni pa wengi bado ni wezi tuu hata hizi heshima wengi waona si sahihi yao, wameshaiba inatosha,
 
Nimekomba hii picha toka kwa Michuzi, katika hiyo picha naona kuna sura za baadhi ya watu ambao kwa mtazamo wa jamii ya Kitanzania naamini kuna walakini hapo...... pls changia kwa kila jina kama unaweza.

Indume Yene

Hata mimi nilipotupa tu jicho kwenye picha hiyo, nilikutana na sura ya Regina Lowasa. Nikakumbuka kuwa:
- Ndiye mke wa aliyekuwa Waziri Mkuu aliyejiuzulu kwa kasfa ya Richmond.
-Ni kati ya wanaofaidi matunda ya Richmond.
-Binti wa Kirangi, aliyetoa machozi, pindi aliposikia mme wake akitoa tamko la kujiuzulu licha ya kuwa na taarifa juu ya hilo. Sijui hakuamini kuwa mme wake angefanya kweli kama alivyomdokeza, au kilikuwa ni kilio cha kujutia makosa au kukosa ulaji.
-Kutokana na kukosa ulaji, sura yake imechuja ghafla kama anavyoonekana kwenye picha kwani yupo kama vile anajilazimisha kutabasamu.
-Na siyo ajabu amelazimishwa kujitokeza kwenye hafla hiyo, kwa nia ya kujisafisha kutokana na makosa ya mmewe.
-Anapaswa pia kumpisha Mama Tunu Pinda katika nafasi hiyo, kwa sababu uteuzi wake ulitokana na nafasi ya mmewe na hivyo kuendelea kuwemo kwenye WAMA, kunaitia doa Tasisi hiyo ambayo naamini lengo la kuundwa kwake ni kutoa fursa kwa First Lady kumsaidia mmewe katika shughuli za jamii.
 
Japo nina suport 'Mwana wa mwenzio ni wako' lakini mke wa rais na makamu wa rais kupia hii picha pamoja na hawa wake wa watu ambao wako katika uchunguzi ni doa, na tunaweka ????? kulikoni?
ina maana kelele tunapiga nje lakini huko ndani ratiba zinaendela kama kawaida!!

Halajana kikwete kaiboa kweli alipoelezea swala la Zanzibar na pemba kwa wazungu, wakati tuliompa kura tunauliza kila siku anakaa kimya!!
Hivi anatuonaje??
 
That is money laundering!! Wamezipata wapi hawa?? Pesa zetu hizo sasa wanatusanifu tu hatuna cha kusema tutabaki kupiga kelele tu! Kelele za Mpangaji………………………………..!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Mi nadhani we should dare ask some hard questions. Au basi tuambiwe majukumu ya mama wa kwanza, kwamba akiingia Ikulu mojawapo ya majukumu ni kuanzisha NGO ya "kusaidia" walalahoi...maana mama wa kwanza kipindi cha Mkapa alikuwa na ya kwake..alivyoondoka na yeye akatimua nayo...sasa huyu naye..ana ya kwake..kwa hiyo mmewe kazi ikiisha anatimua nayo..akiingia mke wa Shein the same...we ought to have SOME SANITY AT SOME POINT WITH THESE FLOURISHING NGOs......

Otherwise, lengo ni zuri..(maana hapa tunaona matunda..ya mama Kikwete alipokuwa juzi ughaibuni akipitisha bakuli..Ofcourse hapo hujui yeye kabaki na ngapi kwenye account yake huko Jersey...umaskini wa waafrika unawatajirisha wengi ati...)...
 
Kama si kuhamasisha michango kupitia luninga basi hawa akina mama na mafuko yao ya fedha wanyooshe mikono yao pia ktk TAWLA na TAMWA ili wawe na matawi hadi vijijini(kule buzebazeba,Malinyi,Makongorosi,igale,kazilakanda,ihumwa n.k) ambapo akina mama wengi wanahitaji msaada wa sheria.

Buzebazeba nimeipenda hii!
 
That is money laundering!! Wamezipata wapi hawa?? Pesa zetu hizo sasa wanatusanifu tu hatuna cha kusema tutabaki kupiga kelele tu! Kelele za Mpangaji………………………………..!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

nirisoma magezetini kuwa mama bush alimpa salima mapesa wakati salima aripoenda USA na kuhutubia mara kidogo baada ya bush kuondoka TZ, nakumbuka watu kupondea koti lake kubwa na fur na kwamba eti mama hajui kiingereza vizuri
 
WAMA imeanza hardly two years ago. Sasa inaweza kuchangia milioni miambili (200,000,000). Kipindi fulani Mwalimu aliuliza IKULU yetu kuna biashara gani? Akifufuka leo atajua IKULU ni DEAL kubwa! Vipi, EOTF iliondoka na ngapi?


Hivi EOTF iliondoka au bado iko pale? tuseme wamepishana ofisini kama wanavopishana ikulu?
 
EOTF siku hizi hipo chang'ombe karibu na kibasila secondary school, naona wanapishana ofisi kama wanavyopishana ikulu
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom