kitowowoti
JF-Expert Member
- Feb 25, 2016
- 631
- 394
Yaani ,USO gani.Don' laugh, school him/her.
Yaani ,USO gani.Don' laugh, school him/her.
Pole mkuu, nenda kwa azima shoka, nyundo, au patasi then tumia shoka huku umeshikiria nyundo uigonge gonge mpaka ifungukeJana baada ya mizunguko yangu, nikazima gari vizuri tu, sasa Leo naweka ufunguo kuwasha hata hauzunguki,
Nikajaribu kuzungusha steling nasikia kama imebana haitoki, nikajua hapa steling imeloki,
Msaada naifunguaje,
Gari ni Voxy
Yes ni simple maana sijawahi kukutana na ishu hii, ka gari kenyewe kapya nakahurumia
Steling? 🤣
Hahaha!Steling? 🤣
sijui ndio wanaita swanglishi!!!Steling?
Mkuu unazunguka uzoefu naonaMbaya zaidi situation kama hiyo inakukuta umeshawapita watu hujawasalimia,umechomekea mwenyewe unatembea kwa mapozi utafikiri unaenda kuendesha Ferari,halafu unakwama kwenye kuunlock steering,hapo nina uhakika lazima jamaa alivyoingia kwenye gari hakutoka,akaanza kutafuta msaada JF huku kajifungia ndani akitaabika kwa joto ili asionekane kuna kitu kinamshinda,na mpaka anapata ufumbuzi kama ni Dar lazima shati akamue jasho...
.Aliyetoa wazo la Shule za Kata alikuwa Genius sana na kasaidia mno si Kwa kiwango watu wanachotaka.Ila Sasa wa kuendeleza wazo la Shule za Kata ndo Hayupo.Ni kama zilitelekezwa
Aliyetoa wazo la kuanzisha shule za kata hawezi kwenda mbinguni.
Jana baada ya mizunguko yangu, nikazima gari vizuri tu, sasa Leo naweka ufunguo kuwasha hata hauzunguki,
Nikajaribu kuzungusha steling nasikia kama imebana haitoki, nikajua hapa steling imeloki,
Msaada naifunguaje,
Gari ni Voxy
Hahaha nimecheka, kuna kipindi nilikuwa na betri bovu, na nilizunguka na gari kama siku mbili hivi...yaan nilikuwa niki park nasalimia kila mtu...na tabasamu juu...!!!Mbaya zaidi situation kama hiyo inakukuta umeshawapita watu hujawasalimia,umechomekea mwenyewe unatembea kwa mapozi utafikiri unaenda kuendesha Ferari,halafu unakwama kwenye kuunlock steering,hapo nina uhakika lazima jamaa alivyoingia kwenye gari hakutoka,akaanza kutafuta msaada JF huku kajifungia ndani akitaabika kwa joto ili asionekane kuna kitu kinamshinda,na mpaka anapata ufumbuzi kama ni Dar lazima shati akamue jasho...