Muosha Magari apatisha ajali gari lenye thamani zaidi ya Milioni 100. Akutwa anaruka sarakasi

Una idea yoyote labda kuhusu masuala ya bima?

Nikusema buses zote za mikoani,daladala kwenye miji mbalimbali hapa home gari zote zinazoendeshwa mijini huwa zinaendeshwa na wamiliki?sasa kumbe kuna haja gani kukata bima hali yakuwa haitoi msaada chombo kikipata tatizo kikiwa nje ya mikono yako?...hey mimi nakushauri kitu hujui kukaa kimya siyo dhambi.
Mwaka 2011 gari ya mzee ilipata ajali haikua bima kubwa iliyokatwa ila tulijibiwa haiwezi kua covered kwa kua dereva hakua yeye. Na gari haikua na 'non owner liability insurance'.

So since then. Mimi najua hivyo. Haya maneno yako ya jikoni sioni yanatokea wapi.
 
Una idea yoyote labda kuhusu masuala ya bima?

Nikusema buses zote za mikoani,daladala kwenye miji mbalimbali hapa home gari zote zinazoendeshwa mijini huwa zinaendeshwa na wamiliki?sasa kumbe kuna haja gani kukata bima hali yakuwa haitoi msaada chombo kikipata tatizo kikiwa nje ya mikono yako?...hey mimi nakushauri kitu hujui kukaa kimya siyo dhambi.
Kama huyo dogo ana leseni analipwa, ila kama hana leseni ni kesi nyingine.
 
Mwaka 2011 gari ya mzee ilipata ajali haikua bima kubwa iliyokatwa ila tulijibiwa haiwezi kua covered kwa kua dereva hakua yeye. Na gari haikua na 'non owner liability insurance'.

So since then. Mimi najua hivyo. Haya maneno yako ya jikoni sioni yanatokea wapi.

Kama anayeendesha si mmiliki hulipwi bima, reference ni gari ya mzee ilipata ajali tukajibiwa hivyo.

Hapo kwenu mkishajibiwa utafiti wa uhalali wa majibu humuufanyi.

Mnahitimisha ni mpaka kiama kuwa hilo ndo jibu sahihi yaani. Hongereni sana.
 
Kama anayeendesha si mmiliki hulipwi bima, reference ni gari ya mzee ilipata ajali tukajibiwa hivyo.

Hapo kwenu mkishajibiwa utafiti wa uhalali wa majibu humuufanyi.

Mnahitimisha mpaka kiama kuwa hilo ndo jibu sahihi yaani. Hongereni sana.
Usikasirike yameisha.
 
Mwaka 2011 gari ya mzee ilipata ajali haikua bima kubwa iliyokatwa ila tulijibiwa haiwezi kua covered kwa kua dereva hakua yeye. Na gari haikua na 'non owner liability insurance'.

So since then. Mimi najua hivyo. Haya maneno yako ya jikoni sioni yanatokea wapi.

Iko hivi, Bima ndogo (3rd Party Insurance) maana yake ni kuwa haitengenezi chombo husika BALI ukigonga chombo kingine, yenyewe itatengeneza kile chombo kingine pekee tena kutegemeana na uharibifu. Huyo aliye waambia hivyo aliona asipoteze muda wake kuwaelimisha.
 
Mwaka 2011 gari ya mzee ilipata ajali haikua bima kubwa iliyokatwa ila tulijibiwa haiwezi kua covered kwa kua dereva hakua yeye. Na gari haikua na 'non owner liability insurance'.

So since then. Mimi najua hivyo. Haya maneno yako ya jikoni sioni yanatokea wapi.
Sasa mkuu bima ndogo itamlipaje. Jifunze kuhusu third party liability.
Kingine, ukiwa na bima kubwa (comprehensive) unalipwa hata kama aliyeendesha babu yako. Huyo Mtu wa bima ama ni kilaza au aliamua kusema hivyo ili msimsumbue
 
Hapo bima haifanyi kazi, ni kama kuliteketeza gari makusudi ili ulipwe. Mbaya zaidi hawa madogo wa car wash hawana hata leseni.
Ni nani atakayethibitisha lengo la hiyo ajali ilikuwa kuteketeza gari makusudi ili kulipwa jipya?

Shida ipo hapo kama msababisha ajali hakuwa na leseni (obviously kwa muonekano huo license hawezi kuwa nayo) ila kama ana leseni huyo analipwa.
 
Habari wakuu, tunakumbushana kuweni makini na waosha magari mnapowaachia funguo wakati wa kuosha dinga zenu, Jamaa kapeleka gari aina ya Ford Ranger carwash huku Dom kaacha funguo na kuondoka, mwoshaji kamaliza akachukua ford ranger ya Mteja kwenda kutamba nalo, kilichotokea kala mzinga ndinga haitamaniki yeye kapata uchizi wa ghafla.

View attachment 1877570View attachment 1877572
View attachment 1877571
Huyu jamaa mwenye kibukta ndo mwoshaji, hiyo video ndo inaonyesha kichaa cha ghafla alichopata, sipati picha mmiliki ana hali gani hiki ndo ukute alikuwa na third party
Bima iwe Third Party, halafu iwe gari ya mkopo. Mbaya sana. Unaweza ukajiona kama dunia yote ipo kichwani kwako.
 
Back
Top Bottom