Mkatavimeo
JF-Expert Member
- Jan 3, 2011
- 2,150
- 868
Chacha wangwe je?
Mkuu ajali ya kawaida ni kama hizi ambazo huua watanzania kwenye mabasi na malori.Ajali ya kawaida ipoje,mkuu?Namba 6 aliugua,aliugua nini,mbona mnatoa taarifa nusu nusu? Pale namba 4,inadhihirisha wazi kuwa watendaji wenu wasivyo makini.
Naona HUTAKI UNAACHA KAACHA!!!huyu tunamsubiria HUTAKI UNAACHA atakuja na maelezo yake
Alipigani Ruzuku ziende mikoani kuimarisha Chama, akapata ajali ya kawaida pale Panda Mbili akafariki dunia.Chacha wangwe je?
Alisema CCM itakufa kabla yeye hajafa, akagongwa na gari kwenye ajali ya kawaida akafariki dunia.Mwaka jana yule mzee Mahimbo aliongea kwenye mjadala wa katiba kuwa CCM itakufa kabla yeye hajafa, wiki moja baada yakusema hayo akagongwa na gari na kufariki !
NAAM, TUENDELEE KUKUMBUSHANA ZAIDI
1. Dr Omar Ali Juma (Makamu wa Rais Muungano - usingizini usiku) ?
2. Prof Haroub Othman (UDSM mara baada ya kuhudhuria hafla) ?
3. Prof Chachage (UDSM - aliporudi toka kwenye utafiti Kibaha) ?
4. Okemo (gazeti la the East African - kule Kimara)
5. Sheikh Gorogosi (Mikoa ya Kusini / ndani ya wiki moja na Prof Othman)
6. Malecela Junior (Purukshani na Nchimbi UVCCM)
7. Prof Mwaikusa (Kesi ya Kikatiba kuhusu mgombea binafsi)
8. .........
Naìve answers for critical questions!
acha uongo,Gilman amezikwa Bugurun malapa pamoja na ndugu zake,hayo ya Ngala umeyatoa wapi?
Mwakiembe Atapona!
Kwani tunawakumbuka hadi "wao wazanzibari"?
huyuyupo na ni mzima wa afya...kabisa hana shida yoyote....subiri tarehe 8 mwezi wa 10 mwaka huu
10.kambona1.Sokoine
2.Kolimba
3.Malima
4.Kombe
5.Nyerere
6.Chifupa
7.Salome
8.Balali
9.Rutihinda
10.Kambona
ANAYEUGUA.
Mwakyembe (Dr.)
Hivi kweli AC naye alikuwa na nini cha kuwafanya wamuondoe kama mnavyotaka tuamini??
Alipigani Ruzuku ziende mikoani kuimarisha Chama, akapata ajali ya kawaida pale Panda Mbili akafariki dunia.
Balali mzima kabisa wala hajafariki dunia msidanganywe wakuu, fuatilieni mkasa wa Marehemu profesa mmoja wa UDSM aliyemwona sehemu moja hapa hapa duniani kisha akampa taarifa rafiki yake alokuwa akifanya kazi TISS ni yapi yalomkuta!!!!!
1.Sokoine - Ajali baada ya kugongwa na Dumisan Dube
2.Kolimba - Mshituko wa moyo - CCM haina vision kumbe ina vision
3.Malima - Mshituko wa Moyo - Baada ya kugundua kwamba NRA haina uwezo wa kumwingiza ikulu
4.Kombe - Mistaken identity baada ya kufananishwa na white
5.Nyerere - Aliugua Leukemia na kila mtu analijua hili
6.Chifupa - Aliugua
7.Salome - Ajali ya kawaida huko Njombe