[/COLOR]
Huyu ngoma ilmwondoa, enzi hizo unyanyapaa ulikuwa wa hali ya juu, watanzania wlikuwa hawafi kihivyo bali walikuwa wanakufa kwa TB, Typhod, kansa, matizo ya figo n.k Huyu mzee Rutihinda walisema alikufa kwa kansa ya kongosho au kiswahili kingine ni wengu au Pancreas ukipenda hii ni mafuta fulani chini ya tumbo. Kaburi lake liko mjini Ngala limejengewa pamoja na nduguze watatu mmoja nai mtoto wake Alex. Mkaburi hayo yalivyotengenezwa mwanangu ni kivutio cha watalii.
acha uongo,Gilman amezikwa Bugurun malapa pamoja na ndugu zake,hayo ya Ngala umeyatoa wapi?