CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,789
- 8,914
Wakuu laptop yangu nikifunfua web ya jf kwenye kupost thread inakua haionyeshi zile icon za kubadilisha langi na kuongeza ukubwa wa maneno na nyinginezo, tatizo ni nini? Imeanza tangi juzi na nashindwa kupost threa au kuchangia, hapa nimetumia komputa ya mtu.