tz1
JF-Expert Member
- Mar 19, 2011
- 2,121
- 534
Rais Mtahaahafu Nyerere ana watoto na marafiki,
Rais Mtahaahafu Mwinyi ana watoto na marafiki,
Rais Mtaahafu Mkapa ana watoto na marafiki.
Wote walikuwa ma rais wetu,walikuwa na marafiki wengi duniani, Wote walikuwa na wanatafuta marafiki
wa kujenga nchi yetu.
Je JK mbona yuko tofauti?yeye ni kizazi gani asiye na huruma na watu wake?
Je ni kiziwi?
Je au ni mbinafsi?
Nazidi kuchanginikiwa kila siku, na sasa anauza Mahakama kuu yetu Tanzania ili rafiki zake wapate nafasi ya ku park magari yao
ya kifahari Kilimanjaro hoteli.
Kuna mtu hapa Jf ana sema miafrika ndo livyo.Ana ongea ukweli.
Tunasubiri niniiiiiiiiiiiii?
,.
Rais Mtahaahafu Mwinyi ana watoto na marafiki,
Rais Mtaahafu Mkapa ana watoto na marafiki.
Wote walikuwa ma rais wetu,walikuwa na marafiki wengi duniani, Wote walikuwa na wanatafuta marafiki
wa kujenga nchi yetu.
Je JK mbona yuko tofauti?yeye ni kizazi gani asiye na huruma na watu wake?
Je ni kiziwi?
Je au ni mbinafsi?
Nazidi kuchanginikiwa kila siku, na sasa anauza Mahakama kuu yetu Tanzania ili rafiki zake wapate nafasi ya ku park magari yao
ya kifahari Kilimanjaro hoteli.
Kuna mtu hapa Jf ana sema miafrika ndo livyo.Ana ongea ukweli.
Tunasubiri niniiiiiiiiiiiii?
,.