Kang
JF-Expert Member
- Jun 24, 2008
- 5,495
- 2,250
Nimeona kuwa wawekezaji wa nje wataruhusiwa kununua hizi hisa kwa kupitia mlango wa nyuma fulani. Hizi brokerage firm za TZ zitanunua hisa kisha wawekezaji wa nje watanunua fungu la hizo hisa.
Hii kidogo inapoteza point nzima ya kupitishwa hii sheria ya kuwalazimisha kuuza hisa maana ilikuwa ni kuwapa watanzania chance ya kufaidika na hizi kampuni.
Lakini kwa upande mwengine inapunguza risk ya hisa hizi kudoda kutokana na kukosa wanunuzi wa ndani.
Hii kidogo inapoteza point nzima ya kupitishwa hii sheria ya kuwalazimisha kuuza hisa maana ilikuwa ni kuwapa watanzania chance ya kufaidika na hizi kampuni.
Lakini kwa upande mwengine inapunguza risk ya hisa hizi kudoda kutokana na kukosa wanunuzi wa ndani.