Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 26,086
- 33,999
- Thread starter
- #61
Daaah shukran kwa taarifa mkuuHuyo demu aliwahi kupigana studio na demu mwenzake wakigombea mwanaume na mbaya zaidi walikuwa hewani live.. Ishu hiyo ilitokea enzi akiwa radio five!! Kiufupi ni mtata sana na ugomvi kwake ni kama vile kunawa maana ni mgomvi balaa!! Just imagine palepale studio akalianzisha!!
Jambo lingine ni mwingi wa chini mno. Ni very cheap na ndo maana hawezi kuwa na mahusiano yenye msimamo!! Ni mzuri wa sura ila ana umbo baya na kifuani ana mtindi unafikia hata kilo 65..Kwa hayo machache nimekudokezea