Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 19,514
- 37,911
- Thread starter
- #41
Bado sijajua mkuuSasa hapo ni kitu gani kinakuuwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado sijajua mkuuSasa hapo ni kitu gani kinakuuwa?
Nmesha kupm mkuunipe namba zake za simu nitakupa mrejesho
Nipe location plizWakuu daah kuna mdada nampenda sana yaani aisee
niliyopata huyu naona ndo ananifaa yaani nioe jamani
Shida inakuja kwamba dah hivi wanawake mnapendaga nini mnapotongozwa ...
Na mamen wenzangu mnatumia technique gani daah ...!!!
Yaani huyu kama ni hela kwao wana hela na ni mtoto wa kigogo
Yaani wakuu mi nakufa kwa huyu mtoto yaan swaga sina kabisa nisaidien
Atakayefanikiwa kunisaidia ntamwachia kibanda changu cha kuchajia chaji !!!
Please brazas and sistas
Asante mkuu nmekupmnjoo nikuandikie mitongozo unamfata unatoa karatasi nlokuandikia unaanza kumsomea wallahi lazima akubali , old skuli mitongozo ndo zinafanya kazi kipindi hiki
Mmmh huu uzi haukuhusu mkuu
We hatat sana
Mmhhh we sio mwema mkuu
Unanionea lakini wewe si unataka msaada mkuu?
Mmhhh we sio mwema mkuu
Yupo canada nipo usaIkiwa una hakika hana mtu na ametulia na una lengo la kumuoa basi fanya haya.
Kwanza hawezi kukuzimia ghafla tuu vuup,hapana lazima ichukue muda kidogo ikiwa una malengo nae.
Kumwambia mtu nakupenda ghafla ni sawa na kumuingilia mwanamke bila maandalizi yeyote.
Tanguliza romance kabla ya neno nakupenda kumwambia.
Hakikisha unagongana nae macho japo kwa sekunde kadhaa alafu hapo uhakikishe unamkodolea mimacho na ajue hasa kama umemshangaa,sio unaogopa ogopa kumwangalia.
Hiyo itamfanya siku nyingine akukumbuke kwa kile kituko chako cha kumtizama kwa makini.
Siku ingine ukimuona msalimiee mpaka ambapo atakuwa ameanza kukusalimia wewe hapo sema yeees anaanza japo kunipa salamu.
Hakikisha huombi namba za simu mapema,atakutolea nje.
Anza na romance za kujua ratiba zake ziko vipi na ni wapi unaweza kukutana nae ili iwe rahisi kupiga stori mbili tatu hakikisha zisiwe nyingi,sio unaongea wewe.dk moja mbili una muaga.
Akisha kuwa naye yuko huru kukuuliza maswali mawili matatu basi hapo vuta subra tuu usiombe namba.
Nachokimaanisha usiwe na haraka
Lakin nipe tips mkuu
Aya bhana mkuu
Sasa wewe umemjuaje mkuu?Yupo canada nipo usa
Nifanyeje mkuu
Mi sitaki namba nataka Location tu namba nitazipata mwenyewe.Lakin nipe tips mkuu
Za kiutu uzima ...
Namba sikupi ila
Nilisoma nae mkuuSasa wewe umemjuaje mkuu?
Njia ulotumia kumjua inaweza kusaidia pia.
Kwa hyo hauna njia yeyote ya kuwasiliana nae?Nilisoma nae mkuu
Dah
Sawa mkuuendelea kuchaji hiyo chaja kwasababu huyo humpati.
nimecheke sana aiseeeeKufa tuu, wewe sio wa kwanza kufa..
Kama Samson alikufa kisa papuchi, wewe ni nani hadi usife.. Kufa kufa kufa...