Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 19,526
- 37,941
.
Sio mbaya mamaKufaaa nitachangia sanda
Dah ngumu kumeza kama betting ya fixed oddsBaba swalehe huyo mama swalehe ulimpataje ?
sikia hii wewe siku ukionana nae mwambie unampenda kisha ondoka usisubiri akujibu chochote
Bora iwe keaho kutwa sio kesho kutwaBora tuu ufe ndugu yangu tangulia maana keaho kutwa hatujui nini kinatokea
Nshakupm mkuuNipe namba yake ya simu nikusaidie.
Just muombe mtoke out for dinner and drinks then be gentlemen, tupia mistari , ila usijisifie sifie alafu kuwa romantic mzigo utangoaWakuu daah kuna mdada nampenda sana yaani aisee
niliyopata huyu naona ndo ananifaa yaani nioe jamani
Shida inakuja kwamba dah hivi wanawake mnapendaga nini mnapotongozwa ...
Na mamen wenzangu mnatumia technique gani daah ...!!!
Yaani huyu kama ni hela kwao wana hela na ni mtoto wa kigogo
Yaani wakuu mi nakufa kwa huyu mtoto yaan swaga sina kabisa nisaidien
Atakayefanikiwa kunisaidia ntamwachia kibanda changu cha kuchajia chaji !!!
Please brazas and sistas
Tumia mbinu fulani hv mwishoni inaishia phenomenon sikumbuki vizuriNaanzaje eti?
Au
Asante mkuu ...Just muombe mtoke out for dinner and drinks then be gentlemen, tupia mistari , ila usijisifie sifie alafu kuwa romantic mzigo utangoa
Mbona sijaona?!Nshakupm mkuu
Sina mbavuTumia mbinu fulani hv mwishoni inaishia phenomenon sikumbuki vizuri
Weka ukaribu naye uwe unajichetua sana hadi aingie kingi
Sent from my TECNO-Y3+ using JamiiForums mobile app