mishemishe
Member
- Nov 1, 2010
- 28
- 2
kwa mtazamo wa kawaida nadhani seif kakubali tu kwa sababu shein ni mpemba mwenziwe sijui wadau mnasemaje? maana naona mchakachuo wa kipindi hiki umefanyika kiintelijensia sana na katika chaguzi zote huwa jamaa hushinda na anagomea matokeo
napenda kumpa pongezi Seif maana pia hatma ya amani ya visiwani ilikuwa mikononi mwake
ila ni kondooo aliyeamua kujitoa sadaka ili wengine wapone.
napenda kumpa pongezi Seif maana pia hatma ya amani ya visiwani ilikuwa mikononi mwake
ila ni kondooo aliyeamua kujitoa sadaka ili wengine wapone.