machafuko jr
JF-Expert Member
- Sep 7, 2017
- 504
- 1,003
Nimemaliza chuo kimoja hapa nchini. Nia yangu kwa sasa nataka nisomee ufundi wa magari makubwa( scania) swali langu naweza pata wapi short course za huo ufundi. Kwa sasa nipo Arusha
NIT Dar es salaam ni sehemu sahihi kujifunza huo ujuzi.Nia yangu kwa sasa nataka nisomee ufundi wa magari makubwa( scania) swali langu naweza pata wapi short course za huo ufundi.
Asante sana mkuu. Ngoja nijaribu kuwasiliana nao.NIT Dar es salaam ni sehemu sahihi kujifunza huo ujuzi.
Ni vyema ukafanya mawasiliano ili wakushauri zaidi ni kozi ipi hasa
Nimeangalia kwenye orodha ya course zao hapa: SHORT COURSES
Ila bado haijitoshelezi ni vyema ukawapigia simu NIT au ukafika kabisa ofisini kwao kwa msaada zaidi.
Kuna Baadhi ya Veta ni uozo hasa kwenye fani za Motor Vehicle Mechanics na Heavyduty MechanicsIngia veta
Magari yote Ila hasa hasa magari makubwa.Unataka uspecialize kwenye scania tu?
Veta zipi ni Bora mkuu. Na course zipi ukisoma mtaani hulali njaa?Kuna Baadhi ya Veta ni uozo hasa kwenye fani za Motor Vehicle Mechanics na Heavyduty Mechanics
Kwa upande wangu nakushauri ukasome Autoelectrical (umeme wa magari), hutojutia mkuuVeta zipi ni Bora mkuu. Na course zipi ukisoma mtaani hulali njaa?
Asante kwa ushauri mkuu.Kwa upande wangu nakushauri ukasome Autoelectrical (umeme wa magari), hutojutia mkuu