Kunywa maji mengi mkuu hamna namnaMke wangu ghafla tu kila nikirudi home ananipa mabusu motomoto, mara aniangalie kwa jicho la kuning'inia , ananiambia maneno matamu na mazito?
Kuna mtu ameniambia mwanamke akikupenda sana ghafla basi kuna uwezekana wa kutaka kukuwekea sumu au kukumwagia maji ya moto.
Suala la maji ya moto nimenunua asali lita 5 ziko ndani tayari lkn hili la pili bado sijajua nifanyeje msaada wenu wakuu.
✊🏾 Sawia kabisa 😁Fursa fursana
Jr
Aahhh haaahKunywa maji mengi mkuu hamna namna
Kuna kupendwa kwa ghafla hadi unashangaaa kama hukoMen bhana akili zetu ni za kwetu wenyewe, siku tusipo pendwa tanalalamika na tukipendwa tunalalamika kama mtoto wa mama wa kando
hujashinda biko kweli wewe maan kama unahela lazima upendo uongezekeee🧠Kuna namna anajaribu kukufool ili usishtukie mchezo alioanza
Luckman1