Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 10,125
- 19,714
Mkuu kaa nae chonjo huyo
Yuko pembeni hapa kanipokea kwa mashamsham lkn nachukua tahadhari zoteUlivyorudi leo kakufanyia nini
Mke wangu ghafla tu kila nikirudi home ananipa mabusu motomoto, mara aniangalie kwa jicho la kuning'inia , ananiambia maneno matamu na mazito?
Kuna mtu ameniambia mwanamke akikupenda sana ghafla basi kuna uwezekana wa kutaka kukuwekea sumu au kukumwagia maji ya moto.
Suala la maji ya moto nimenunua asali lita 5 ziko ndani tayari lkn hili la pili bado sijajua nifanyeje msaada wenu wakuu.
Usisahau kukaa na pakti ya maziwa na asali karibu mkuu. In case of anythingYuko pembeni hapa kanipokea kwa mashamsham lkn nachukua tahadhari zote
😂😂😂Atuambie leo imekuwaje 😂😂Ulivyorudi leo kakufanyia nini
😂😂😂😂 Kama nawaona 😂😂Yuko pembeni hapa kanipokea kwa mashamsham lkn nachukua tahadhari zote
huyo ukute kashapigwa mimba na muungwana mmoja sasa hapo anakubambikaMke wangu ghafla tu kila nikirudi home ananipa mabusu motomoto, mara aniangalie kwa jicho la kuning'inia , ananiambia maneno matamu na mazito?
HahahahYuko pembeni hapa kanipokea kwa mashamsham lkn nachukua tahadhari zote
Kwa sis wenye experience tunasemaMaskini so hakuna sababu nyingine ya mwanamke kuonesha mahaba kwa waume zao?
na ajabu kuna mwanaume atabeba huu ushauri
Mke wangu ghafla tu kila nikirudi home ananipa mabusu motomoto, mara aniangalie kwa jicho la kuning'inia , ananiambia maneno matamu na mazito?
Kuna mtu ameniambia mwanamke akikupenda sana ghafla basi kuna uwezekana wa kutaka kukuwekea sumu au kukumwagia maji ya moto.
Suala la maji ya moto nimenunua asali lita 5 ziko ndani tayari lkn hili la pili bado sijajua nifanyeje msaada wenu wakuu.
AhhhaMPE kerubu
Maskini so hakuna sababu nyingine ya mwanamke kuonesha mahaba kwa waume zao?
na ajabu kuna mwanaume atabeba huu ushauri