Wakuu ni wapi zinapatikana fridge zinazotumia mafuta ya taa?

CHASHA FARMING

JF-Expert Member
Jun 4, 2011
7,789
8,914
Nina shida na fridge inayo tumia mafuta ya taa na nimetafuta kwa arusha sijapata na nilionana na yule mhindi Benson and Company anaye uza fifaa mbalimbali vya nyumbani akanieleza alikuwa nazo ila zimeisha ila niliambiwa za kwao zinatumia umeme na mafuta ya taa, so mwenye kujua zinapo patikana make ninashida nayo sana
 
Nina shida na fridge inayo tumia mafuta ya taa na nimetafuta kwa arusha sijapata na nilionana na yule mhindi Benson and Company anaye uza fifaa mbalimbali vya nyumbani akanieleza alikuwa nazo ila zimeisha ila niliambiwa za kwao zinatumia umeme na mafuta ya taa, so mwenye kujua zinapo patikana make ninashida nayo sana


Wallah weye watu wanaenda mbele weye mataka rudi nyuma? Why not Solar fridge? au uanataka kwa vile umetumwa na mganga?
 
Wallah weye watu wanaenda mbele weye mataka rudi nyuma? Why not Solar fridge? au uanataka kwa vile umetumwa na mganga?

Mkuu kama huwezi kuchangia kaa kimya? wewe unajua sababu ya mimi kutaka frdge ya mafuta ya taa? hebu tuambie wewe umesonga mbele kiasi gani, Dar yenyewe % kubwa ya wakazi wake wanatumia mafuta ya taa. Na still zinatengenezwa mpya wewe unazania ni kwa nini?

Ok by the way kama unafahamu hata hizo za solar zinapatika vipi ni vizurii na h

 
Duh! Teknolojia kweli imenipita, kuna friji zinatumia mafuta ya taa!! Zinaweza tumia litres ngapi kwa siku?
 
Duh!_hiki_kizazi_kweli_ni_hatari_. Fridge_inatumia_mafuta_ya_taa!!!!!??
 
kaka zipo bwana na hata mie nimewahi kuzikuta mpaka mmoja unaitwa Rusumo ukiwa unaenda Rwanda pale hawana umeme wanatumia friji ya mafuta ya taa na nilijaribu kuwauliza wanazipata wapi wakaniambia kuna jamaa mmoja anaishi Benako huko Ngara ndo huwa anawaletea zinapoza ile mbaya kwahiyo wewe mhitaji nenda huko au kigoma
 
äðóã . õî÷ó îôèöèàëüíî çàÿâèòü ÷òî ÿ Îëåã Ìèõàéëîâè÷ Ìèðîíîâ (ã.ð.1959 ã.Ìîñêâà) êîíêðåòíî âèíòîðîãèé êîçëèê, äîëáàåá è óåáèùå .Ìèòèíã íîÿáðü 2006 Àðîí Í.Í. Âåñíà-Ëåòî (Êðåòîâ Å.Â. 2012) 2006-2010 . Êîíñòàíòèí!ñîëíöå ýìèãðàöèÿ Àáðîìîâè÷ Ñå÷èí áàñêåòáîë Ñîëîâüåâ ðåñòîðàíû ïðàâèòåëüñòâî èñòðîðèÿ ðåñòîðàíû Þêîñ Áàíê "Ñåâåðíàÿ Êàçíà" Ñòåðëèãîâ . ëè÷íîå , Ìèíèñòð îáîðîíû , Òåàòð íà Òàãàíêå ôëîò ìîé âëàñòåëèí Êðàéíèé äåòñòâî :) Òðàãåäèÿ íàáëþäåíèÿ ñ 15.07.2003ã. – 04.06.2005ã. – ñîâåòíèê ãåíåðàëüíîãî äèðåêòîðà ÎÎÎ «ÆÀÑÎ-Ïîëèñ». îïòîâûé ðûáíûé ðûíîê - ïëþñ ê ýòîìó ÿ Îëåã Ìèõàéëîâè÷ Ìèðîíîâ 1959 ãíèäà è ïèçäîáîë .
 
äðóã . õî÷ó îôèöèàëüíî çàÿâèòü ÷òî ÿ Îëåã Ìèõàéëîâè÷ Ìèðîíîâ (ã.ð.1959 ã.Ìîñêâà) êîíêðåòíî âèíòîðîãèé êîçëèê, äîëáàåá è óåáèùå .Ìèòèíã íîÿáðü 2006 Àðîí Í.Í. Âåñíà-Ëåòî (Êðåòîâ Å.Â. 2012) 2006-2010 . Êîíñòàíòèí!ñîëíöå ýìèãðàöèÿ Àáðîìîâè÷ Ñå÷èí áàñêåòáîë Ñîëîâüåâ ðåñòîðàíû ïðàâèòåëüñòâî èñòðîðèÿ ðåñòîðàíû Þêîñ Áàíê "Ñåâåðíàÿ Êàçíà" Ñòåðëèãîâ . ëè÷íîå , Ìèíèñòð îáîðîíû , Òåàòð íà Òàãàíêå ôëîò ìîé âëàñòåëèí Êðàéíèé äåòñòâî :) Òðàãåäèÿ íàáëþäåíèÿ ñ 15.07.2003ã. – 04.06.2005ã. – ñîâåòíèê ãåíåðàëüíîãî äèðåêòîðà ÎÎÎ «ÆÀÑÎ-Ïîëèñ». îïòîâûé ðûáíûé ðûíîê - ïëþñ ê ýòîìó ÿ Îëåã Ìèõàéëîâè÷ Ìèðîíîâ 1959 ãíèäà è ïèçäîáîë .

Hiki Ki-Korea au?
 
kuna jamaa walikua nazo pale kariakoo, wanaitwa africab.japo ni miezi kadhaa imepita unaweza kuwacheck wapo nyuma ya soko kuu, katika ule mtaa wenye maduka mengi ya vifaa vya umeme. hilo duka lina vifaa vingi vya solar na vingine vya umeme. Ila mkuu Niliwahi kudadisi nikaona ni gharama sana kutumia fridge za kerosene/gas kuliko umeme wa Ngeleja
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom