Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,314
- 33,108
Nauliza swali Je Ni Nani ni Mwanachama wa kwanza wa hii Forum Jamii forums tangu ianzishwe nakuombeni munipe jibu? Asanteni.....
hujanijibu swali nasema Mwanachama wa Kwanza sijasema muanzilishi wa Jamii forums mbona una hasira mkuu Mzee wa Rula ? Acha Munkari huo umekosea jibu langu bado nauliza swali langu swali Je Ni Nani ni Mwanachama wa kwanza wa hii Forum Jamii forums tangu ianzishwe nakuombeni munipe jibu? Asanteni.....MzizMkavu naaanza kutilia shaka ufikiri wako, kuna thread nimeona umepost kitendawili tega, mkuu wa jiko ni nani? Saizi tena unauliza mtu wa kwanza kujisajili ni nani? Post zote mbili hazina maana kwangu, haya mtu wa kwanza kujisajili ni mwanzilishi wa JF mwenyewe. Haya umejua imekusaidia nini? Ifikie mahali tukue.
Tujenge hoja sasa, je mwanzilishi wa JF siyo mwanachama? Hebu jibu tuendelee ma mada.hujanijibu swali nasema Mwanachama wa Kwanza sijasema muanzilishi wa Jamii forums mbona una hasira mkuu Mzee wa Rula ? Acha Munkari huo umekosea jibu langu bado nauliza swali langu swali Je Ni Nani ni Mwanachama wa kwanza wa hii Forum Jamii forums tangu ianzishwe nakuombeni munipe jibu? Asanteni.....
Nauliza swali Je Ni Nani ni Mwanachama wa kwanza wa hii Forum Jamii forums tangu ianzishwe nakuombeni munipe jibu? Asanteni.....
Huku nimekuja kufurahisha moyo wangu si unajuwa Dakatari lazima apate kupumzika na maswali au kazi za hospitalini zinakuwa ni nyingi sana sasa nakuja kuchemsha bongo yangu hahahahahahahahahhh asante mkuu.mimi nasema mwanzilishi ni mzizimkavu.
Mzizimkavu, unapendeza kule JF Dr. na yale mambo yako ya kuboresha afya zetu.,
huku waachie akina BJ na M25.
kuna tofauti ya mwanachama na muanzilishi huwezi kuweka sawa Rais na Waziri Mkuu hawawezi kuwa sawa.Tujenge hoja sasa, je mwanzilishi wa JF siyo mwanachama? Hebu jibu tuendelee ma mada.
unavyotaka liwe vipi swali langu?unataka liwe swali la matusi ndio ulione kuwa ni swali linalovutia? wewe si Ulisema wataka kutoa Siri? mbona hujaitoa hiyo siri yako?Swali lako halina mvuto, halinukii wala halipendezi hata lirembwe vipi.
Mpe jibu kama unalo.Swali lako halina mvuto, halinukii wala halipendezi hata lirembwe vipi.
Umekosea Swali gumu sana kujibika unaliona kam arahisi lakini ni Swali gumu si rahisi kujibika jaribu tena kulijibu swali langu mkuu.Ni mimi hapa
Umekosea Swali gumu sana kujibika unaliona kam arahisi lakini ni Swali gumu si rahisi kujibika jaribu tena kulijibu swali langu mkuu.
Huku nimekuja kufurahisha moyo wangu si unajuwa Dakatari lazima apate kupumzika na maswali au kazi za hospitalini zinakuwa ni nyingi sana sasa nakuja kuchemsha bongo yangu hahahahahahahahahhh asante mkuu.
hapo sawa, ukizingatia kule jfdr hakuna warembo,
warembo wote utawapata huku,
si unaona hata tb kaambulia huku huku,
be cool Mkuu.
kuna tofauti ya mwanachama na muanzilishi huwezi kuweka sawa Rais na Waziri Mkuu hawawezi kuwa sawa.
unavyotaka liwe vipi swali langu?unataka liwe swali la matusi ndio ulione kuwa ni swali linalovutia? wewe si Ulisema wataka kutoa Siri? mbona hujaitoa hiyo siri yako?