Kwanza pole sana, kwa minyoo sugu!! si unaona nilivo jazia hapo juu!! ajili ya kukimbia sasa weye unaacha? fanya hivi;Wakuu Nimeacha Kidogo mazoezi ya Kukimbia kwani Yanakondesha sana na Sasa nataka Nijaze Mikono, Six packs na Miguu. Mtu unanunua saa ya 700,000 halafu unapunguza Mkanda wake wa Silver siku Mmoja mdada Fulani wa Jamii Forums alifaidi kwa Yale mabaki ya Mkanda aliweza Kutengeneza Mkufu na Hereni nzuri za Silver.
Je food supliment gani Nizitumie ili nipate mafanikio?
Vipi Bei zake?
Side effects?
Wewe Unanishaurije? hata kama nimeamua Kutumia Nitaheshimu Mawazo ya Watu wengine pia juu ya Faida na Hasara za Supplements!
umri huu bado huna hela tu? Mwinyi, kikwete, jiwe hela zilikuwa nje! nje! koote huko umezikosa? wee ndo basi tena!Itakapotokea topic ya Kujazia hela mni-tag please
Mathayo 6:33 Bali utafuteni kwanza ufalme wake, na haki yake; na hayo yote mtazidishiwa. Mathayo 6:34 Basi msisumbukie ya kesho; kwa kuwa kesho itajisumbukia yenyewe. Yatosha kwa siku maovu yake.Wakuu Nimeacha Kidogo mazoezi ya Kukimbia kwani Yanakondesha sana na Sasa nataka Nijaze Mikono, Six packs na Miguu. Mtu unanunua saa ya 700,000 halafu unapunguza Mkanda wake wa Silver siku Mmoja mdada Fulani wa Jamii Forums alifaidi kwa Yale mabaki ya Mkanda aliweza Kutengeneza Mkufu na Hereni nzuri za Silver.
Je food supliment gani Nizitumie ili nipate mafanikio?
Vipi Bei zake?
Side effects?
Wewe Unanishaurije? hata kama nimeamua Kutumia Nitaheshimu Mawazo ya Watu wengine pia juu ya Faida na Hasara za Supplements!