kajamaa kadogo
JF-Expert Member
- Nov 2, 2018
- 2,185
- 4,881
Habari watanzania !!
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 24 naishi Norway now ila napenda sana kutali nimefika nchi nyingi tu kama Egypt mali na tunisia. Nikiwa mdogo sana nilikuwa na wazazi wangu katika safari zote hizo. Mimi nina asili kidogo ta tanzania
♠Hotel zinakuwaje yani bei?
♠Amani yake ipo vipi ?
♠Hali ya hewa yani jua sio kali sana kama Nigeria
♥Uhuru wa kutembea
Naombeni msaada please
cityzen chairman am here
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 24 naishi Norway now ila napenda sana kutali nimefika nchi nyingi tu kama Egypt mali na tunisia. Nikiwa mdogo sana nilikuwa na wazazi wangu katika safari zote hizo. Mimi nina asili kidogo ta tanzania
♠Hotel zinakuwaje yani bei?
♠Amani yake ipo vipi ?
♠Hali ya hewa yani jua sio kali sana kama Nigeria
♥Uhuru wa kutembea
Naombeni msaada please
cityzen chairman am here