Duh aysee....asante sana mkuu kwa ushauri,Ya bagamoyo no, nimeishi bagamoyo naifahamu hiyo Sober ni ya wajanja wachache wanaopata fedha za wafadhili/watalii wanaofika Katika huo mji, bagamoyo ni rahisi kupata hayo madude hamna msaada, Ushauri wangu kwanza Mtafutie Mtaalamu wa Saikolojia aweze kumtoa huko mana ameshakuwa addicted hii kazi hata daktari anaiweza kule bagamoyo awe anaenda kufata dawa tu mana hizi dawa ni gharama na asiwe mbali na wewe na awe anameza chini ya usimamizi wako, mara nyingi anapoanza kuachana na haya madude ndio anapoanza kusikia maumivu makali so jiandae mana unaweza muonea huruma, cha msingi awe tayari kukabiliana nayo akiweza ndani ya Mwezi mmoja tu kutokutumoa from now ni rahisi sasa kuacha na atakuwa maeshajitambua ila hii kitu sio nzuri hata kidogo, ni mbaya ikishaingia kwenye Damu na Ubongo
Huyu inaonyesha haijamkolea...maana toka jana,...Yupo pouwa nimempa tu zile tramado, leo.....naona anazngua et anahis maumivu, nimruhusu akanunua hata kimoja af akikate nusu...nimemwambia nitamuongeza dawa tu...nimejaribu kugoogle kweli tramado zipo pouwa, japo nazo mtu huweza kuwa addictKitu kingine Kumbuka katika vitu vyote unga ndio kali yao. Kama tayari anajua raha yake inaweza ikawa ngumu kuacha. Bali kama anaonyesha ushirikiano komaa nae kabla aijakolea ndugu yangu.
Ni starehe ya mwisho dunianiDawa yake ni maji kuoga na kunywa. Kuanza kula sembe ni kazi rahisi lakini kuacha ni vigumu sana. Unga mwisho duniani
Dah hapa yenyewe nimemvurumisha akaoge...hayo usemayo ni tru mkuu, hata yeye wanakiri ndio dawa. Sema mwoga saana kuoga maji ya bariidiMwambie aoge kila baada lisaa kama kuna mto karibu mwambie akae mtoni mda wote. Au kama yuko nyumbani na ni mambo safi kidogo bafu sio ya kusubiria mwambie atumie muda mwingi bafuni
Sio kweli.Unafahamu mtu aliyekuwa addicted na haya makitu akiyakosa zaidi ya siku mbili anakuwaje? kinachofuatia ni kifo, Na atasumbua tu Wafungwa wenzie hili sio suluhisho.
Ampeleke tu sober, akaanze dozi.