Naunga mkono hojakweli kila jambo lina mwisho wake.
Wanaume wa aina yake hawapo tena duniani waliishi karne ya kwanza.Una Phd ya uvumilivu hongera
Dah....Kwani Mke Ni nani?Hahahaha, maamuzi ni juu yake, ila ukweli aambiwe tu, hana mke hapo.
Dah....Kwani Mke Ni nani?
Dah...hapa ndiyo makosa makubwa yanapoanziaKwa mujibu wa maandiko, mke ni msaidizi. Kwa mwanetu, naona mke wake ni beki, anamkaba yeye.