charldzosias
JF-Expert Member
- Nov 10, 2013
- 2,448
- 3,334
TVS Jamani mnajua bei ya vifaa vyake?
Ngoja niwaweke sawa ndugu zangu. Mie simpotezi mtoa Mada. Ila nampa ushauri mzuri sana. Sio lazima anunue bike ya mil 18, au mil 10.. Zipo bike mpk mil 4.. Na ni same type na specs tofaut ni imetumika muda gani na year of prod.
Nunua pikipiki hyo ya mil 2.. Utumie mwaka mmoja uje kuuza laki 9!
Pili.,Utaingia cost zisizo na maana.. Jiandae kununua spocket kila mara.. Chain drive.. Jiandae kubadir front/rear suspension kila mara..
Jiandae kukosa uhuru njiani.. Ipo wazi ukiendesh Boxer au TVS kila mtu anakuona bodaboda tu ndo hapo rafu za maksudi zinatawala.. Ukiwa na kx! Au crf kwanza mwenye crown anakupisha upite..
Pili kiuhalisia.. Hata usumbufu wa wale Tigo haukupati.. Unaingia popote mjini.. Advantage hzo! Kingine cha mwisho hz bike unaweza nunua mil 5 ukaja kuuza mil 7.. Ila tvs unanunua mil 2.5 unakuj kuuza lak 9.
Bike yangu ina mwaka saiv nabadili oil tu.... Basi.. Uliza wamilik wa Boxer au TVS maintanance cost thou ni cheap spare parts ila hazidumu.. Humaliz mwezi unafungua hiki unafunga kile.. Ukija kupga mahesabu umetumia hela nyng..
Faida ya hzo Tvs na boxer unaweza ukawa unapakia abiria njiani kufidia mafuta.. Kujipatia kipato ukiwa free!
Mwisho.. <Cheap is expensive!>
shortcut always is a longcut
Ngoja niwaweke sawa ndugu zangu. Mie simpotezi mtoa Mada. Ila nampa ushauri mzuri sana. Sio lazima anunue bike ya mil 18, au mil 10.. Zipo bike mpk mil 4.. Na ni same type na specs tofaut ni imetumika muda gani na year of prod.
Nunua pikipiki hyo ya mil 2.. Utumie mwaka mmoja uje kuuza laki 9!
Pili.,Utaingia cost zisizo na maana.. Jiandae kununua spocket kila mara.. Chain drive.. Jiandae kubadir front/rear suspension kila mara..
Jiandae kukosa uhuru njiani.. Ipo wazi ukiendesh Boxer au TVS kila mtu anakuona bodaboda tu ndo hapo rafu za maksudi zinatawala.. Ukiwa na kx! Au crf kwanza mwenye crown anakupisha upite..
Pili kiuhalisia.. Hata usumbufu wa wale Tigo haukupati.. Unaingia popote mjini.. Advantage hzo! Kingine cha mwisho hz bike unaweza nunua mil 5 ukaja kuuza mil 7.. Ila tvs unanunua mil 2.5 unakuj kuuza lak 9.
Bike yangu ina mwaka saiv nabadili oil tu.... Basi.. Uliza wamilik wa Boxer au TVS maintanance cost thou ni cheap spare parts ila hazidumu.. Humaliz mwezi unafungua hiki unafunga kile.. Ukija kupga mahesabu umetumia hela nyng..
Faida ya hzo Tvs na boxer unaweza ukawa unapakia abiria njiani kufidia mafuta.. Kujipatia kipato ukiwa free!
Mwisho.. <Cheap is expensive!>
shortcut always is a longcut