codifier
JF-Expert Member
- Mar 13, 2017
- 439
- 850
Habari za wakati huu wana JamiiForums.
Nahitaji kununua piki piki aina ya HONDA CBR 125R ya mwaka 2019 au 2018 with specs liquid cooled and tubeless tyres.
Je Naweza pata hapa bongo? Au Kama naagiza nje ya nchi mfano Zanzibar au Dubai naagiza vipi?
Kipi tahitaji kulipia baada ya kuagiza ili kukamilisha usajiri na bei yake kwa usajili na kodi
Badger yangu ni 4M hadi 5M, naweza pata hata ya mtumba in good condition?
Nahitaji kununua piki piki aina ya HONDA CBR 125R ya mwaka 2019 au 2018 with specs liquid cooled and tubeless tyres.
Je Naweza pata hapa bongo? Au Kama naagiza nje ya nchi mfano Zanzibar au Dubai naagiza vipi?
Kipi tahitaji kulipia baada ya kuagiza ili kukamilisha usajiri na bei yake kwa usajili na kodi
Badger yangu ni 4M hadi 5M, naweza pata hata ya mtumba in good condition?