Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,783
- 28,800
Hello, hope this email finds you well,
The Government in association with USAID is giving out funds to entrepreneurs in order to improve their businesses during this time. First consideration goes to those that have ever applied for a grant before. For approval see the attachments below for your use. Download, print, fill it then scan and send it back to me through this email as soon as possible.
Ni kweli kwamba mwaka jana niliomba lakini.. Asanteni..
Sent using Jamii Forums mobile app
hapo ni kwamba ujaze kwa zile kalamu zenye wino mwepesi...ule wino uko kama maji. pia tumia herufi kubwa labda kama umeambiwa vinginevyo
hahhahahahaa
😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂Kila mtu yuko busy kumlia timing mwenzake
...Ila ukiona wanaanza tu hadithi za uwatumie chochote ili wao wakutumie kitu, Chomoka na Kimbia fasts Mkuu !!Fuata utaratibu but kuwa makini sana.
Na ukipigwa njoo utuambie bro ili tukupe ushauri tena.
ukiona email ina .wapka,au domain nyingine ya ajabu ajabu au hata gmail,yahoo etc basi hapo jua risasi ipo chemba and you are at a gun point.official email address zinakuwa na domain za website za kampuni husika eg.@usaid.org,@usaid.us,@usaid.co.net etc.ukiona usaid@gmail,usaid@hotmail au mobi.usaid.wapka.com hapo mzee analia mtu hivi punde
We jaza mafomu yao kama wakiomba mpunga kama ada wakacheHello, hope this email finds you well,
The Government in association with USAID is giving out funds to entrepreneurs in order to improve their businesses during this time. First consideration goes to those that have ever applied for a grant before. For approval see the attachments below for your use. Download, print, fill it then scan and send it back to me through this email as soon as possible.
Ni kweli kwamba mwaka jana niliomba lakini.. Asanteni..
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani anakuambia utume hiyo email kwake as an individual na si kwa taasisi ambayo itampatia hiyo email aifanyie kazi! Pili, ni Serikali gani inayozungumziwa? Ya Kenya au ya hapa kwetu? Hilo la kuingiza USAID katika taarifa hii ni chambo cha kukuvutia wewe ukubaliane na hayo anayokueleza. Ndugu, huu ni mtego, tahadhari kabla ya hatari. You have been warned.Tafadhali boss nifafanulie ile email vipi inaweza ikawa applicable?
Sent using Jamii Forums mobile app
Huko ilipoomba wana special email address ,sio gmail wala Yahoo mail ....je hii email uliotumia kuapply ndio hiyo imekutumia ujumbe huo?Hello, hope this email finds you well,
The Government in association with USAID is giving out funds to entrepreneurs in order to improve their businesses during this time. First consideration goes to those that have ever applied for a grant before. For approval see the attachments below for your use. Download, print, fill it then scan and send it back to me through this email as soon as possible.
Ni kweli kwamba mwaka jana niliomba lakini.. Asanteni..
Sent using Jamii Forums mobile app
da nimecheka sanaKila mtu yuko busy kumlia timing mwenzake
usitoe hela kupata hela watakupiga wahuni hao